OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Jamani mimi ni mwanaume, nahitaji mke umri wangu miaka 33, mimi ni mfanyabiashara hapa jijini Mwanza.
Nataka nikimbie ukapera nahitaji kuwa na familia sasa. Mwanamke ninae muhitaji awe na mvuto yaani awe mrembo na figure iwe nzuri.
Karibuni wakina dada fursa hii.Sifa zake awe na umbo yaani asiwe mwembamba, miaka isizide 28.
Nasubiri PM
Nataka nikimbie ukapera nahitaji kuwa na familia sasa. Mwanamke ninae muhitaji awe na mvuto yaani awe mrembo na figure iwe nzuri.
Karibuni wakina dada fursa hii.Sifa zake awe na umbo yaani asiwe mwembamba, miaka isizide 28.
Nasubiri PM