Mi ni binti natafuta mwanaume atakayekuja kuwa mume na baba watoto wetu tutakaopata.
Awe mkristo mi pia ni mkristo.
Awe na urefu na fut 6.
Awe kazi ya kutunza familia.
Umri 32-38.
Asipende sifa ambazo hana aseme ukweli kwani ukweli utakuweka huru.
Awe na nguvu za kutosha mi michepuko siwezi ivyo ajue ntamtegemia sana yeye sehemu hiyo kunyimana mwiko labda kama mmoja anaumwa mengine tutaongea.
Awe mkristo mi pia ni mkristo.
Awe na urefu na fut 6.
Awe kazi ya kutunza familia.
Umri 32-38.
Asipende sifa ambazo hana aseme ukweli kwani ukweli utakuweka huru.
Awe na nguvu za kutosha mi michepuko siwezi ivyo ajue ntamtegemia sana yeye sehemu hiyo kunyimana mwiko labda kama mmoja anaumwa mengine tutaongea.