CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5. Dini nayo si muhimu sana ingawa mimi ni mkristo
MIMI NIKO a town au Arusha
Hii ni sereasi wakuu na si jikong so kama huhusiki na hii thread ni muhimu ukaiacha kama ilivyo kuliko kuchangia vitu vya ajabu hapa, au kama unamchango basi uwe ni mchango wa kujenga na sio kukebehi
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5. Dini nayo si muhimu sana ingawa mimi ni mkristo
MIMI NIKO a town au Arusha
Hii ni sereasi wakuu na si jikong so kama huhusiki na hii thread ni muhimu ukaiacha kama ilivyo kuliko kuchangia vitu vya ajabu hapa, au kama unamchango basi uwe ni mchango wa kujenga na sio kukebehi