Natafuta mchumba wa kuo wajameni

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5. Dini nayo si muhimu sana ingawa mimi ni mkristo
MIMI NIKO a town au Arusha

Hii ni sereasi wakuu na si jikong so kama huhusiki na hii thread ni muhimu ukaiacha kama ilivyo kuliko kuchangia vitu vya ajabu hapa, au kama unamchango basi uwe ni mchango wa kujenga na sio kukebehi
 
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5. Dini nayo si muhimu sana ingawa mimi ni mkristo
MIMI NIKO a town au Arusha

Hii ni sereasi wakuu na si jikong so kama huhusiki na hii thread ni muhimu ukaiacha kama ilivyo kuliko kuchangia vitu vya ajabu hapa, au kama unamchango basi uwe ni mchango wa kujenga na sio kukebehi
nina staff mwenzangu hapa anatamani kuolewa,lakini nilipomtajia kuwa SATAN anatafuta mke aliguna....na kuogopa sana....eti anaogopa kuitwa MRS SATAN...........Nakutakia kila la kheri.
 
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo1. elimu si muhimu sana 2.kabila nalo c muhumu hata kidogo3. umuri nao ni muhimu sana 19-264. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote5. Dini nayo si muhimu sana ingawa mimi ni mkristoMIMI NIKO a town au ArushaHii ni sereasi wakuu na si jikong so kama huhusiki na hii thread ni muhimu ukaiacha kama ilivyo kuliko kuchangia vitu vya ajabu hapa, au kama unamchango basi uwe ni mchango wa kujenga na sio kukebehi
hapo kwenye red navyo ni vigezo?
 
JF imevamiwa mpaka na mashetani.

huwezi kujiita jina la kitu usichokipenda!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom