Kama mtanzania ninaomba kuwasilisha maoni yangu kwenye mchakato wa kupata katiba mpya kama ifuatavyo.
1.Katiba mpya ianishe mipaka ya Tanzania na nchi jirani na siyo kuishia kuitangaza TANZANIA...
Uraia wa Tanzania utamkwe pasina kuweka mashaka. Sina tatizo na aina zote za 'uraia' tulizonazo...ila ningependa ule wa kuandikishwa kigezo kimoja kiwe mwombaji awe na moja ya sifa kuwa...
Hivi ni sahihi kweli kwa ccm kuwaelekeza wanachama wake namna ya kutoa maoni kuhusu katiba mpya? ktk pitapita zangu nilikutana na viongozi fulani wa chama hicho wakiwa na fomu fulani yenye maoni...
Naomba kujua kuhusu Vijiji au Miji inayotembelewa na Tume ya Katiba mpya vina sifa gani ya ziada. Nimejaribu kufuatilia baadhi ya wadau wa mitandao hasa Facebook na Kukuta kuwa wanalalamika Tume...
MAONI YANGU KUHUSU KATIBA MPYA
1) MUUNGANO
Hakuna ubishi kuwa muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni wa kipekeekatika Afrika na Dunia nzima. Upekee wa muungano huu hautokani tu na...
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/282291-katiba-tanganyika-irudi-kwanza-ndipo-rasimu-ya-katiba-ifuate.html. Tafadhali natafauta maoni ya wana JF kuhusu aina ya muungano au kama hawautaki...
''wamilikiwa vituo vya mafuta sumbawanga , wamegoma kuhuza mafuta ili kuhujumu wananchi waichukie serikali yao ''
unahujumu zoezi zima la mitihani ya kidato cha nne wakati wa usambazaji wa...
Mwenyekiti wa kamati ya kukusanya maoni ya wananchi juu ya katiba mpya, Jaji Joseph Sinde Waryoba amesema kamati yake ipo kwa mujibu wa sheria na muda uliopangwa kumaliza kazi yake pia upo...
Suala la chama cha mapinduzi kuwaepusha wagombea wao na midahalo ya wazi 'debates' kutokana na kutowaamini kiuewezo, imepelekea ofisi za umma kukaliwa na matango pori eti viongozi. Debate...
Jukwaa la Katiba Tanzania limesema kupatikana kwa katiba mpya ifikapo Aprili, 2014 ni ndoto kutokana na kusuasua kwa zoezi la ukusanyaji wa maoni linalofanywa na Tume ya Katiba kushindwa kufika...
Inaonekana Katiba iliyopo inaruhusu Upotevu wa AMANI kuletwa na IMANI zetu!
Katiba iweke wazi mambo yahusuyo dini.
Iongee kinaganaga kuwa Serikali haina dini na wala haifuati dini yoyote na...
katika kuchangia maoni kuhusu nn kiwepo kwenye katiba mpya wanwake huko songea wameliambia jukwaa kuwa serikali ipige marufuku vitendo vya ushoga kwani wanawake wengi hawana wanaume ama hawaolewi...
Kiukwel 2natakiwa kutoa maon ya kujenga sio kulumbana nn kiandikwe kwa ajili ya wakristo na nin kiandikwe kwa ajili ya waislamu.hil litakuwa tatizo na atapat katiba bora kwa ujinga na uzembe wetu...
Mambo ambayo hayafai katika Katiba ya Nchi
Kuna vikundi mbalimbali vimejitokeza nchini vinavyowashawishi wananchi kutoa Maoni yao kulingana na Maslahi yao Binafsi. Vikundi hivyo vinawashawish...
Tanganyika na Zanzibar zinapashwa kuwa na katiba zao, na iundwe serikali ya muungano (Federal State).
Mamlaka ya Raisi yapunguzwe. Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Polisi na wakuu wa tarisi...
Katika kutoa maoni ya kuundwa kwa Katiba mpya tutake Tanzania pia iwepo Wizara ya Maadili kama ilivyo kwa wenzetu Uganda ambapo pamoja na mambo mengine itasimamia Maadili ya kiutendaji kwa...
Kwa kuwa dunia ya leo uchumi unategemea sector binafsi, km wasemavyo "Private sector is the Engine of Economy" inashaangaza sana sector hiyo kutoshilikishwa au kutopewa nafasi bungeni ili kutatua...
Kuna makosa mengi ya jinai ambayo yanatokea katika mazingira ya makusudi na watu wanafanya hivyo kwa kujua kwamba watafikishwa mahakamani na baada ya hapo kutakuwa na mwenendo wa kesi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.