Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,116
Kwa kuwa dunia ya leo uchumi unategemea sector binafsi, km wasemavyo "Private sector is the Engine of Economy" inashaangaza sana sector hiyo kutoshilikishwa au kutopewa nafasi bungeni ili kutatua matatizo yanayo wasibu ili kuboresha na kuchochea ukuaji wa huo uchumi kwa faida ya wananchi wote na taifa kwa ujumla, inakuwa kero kubwa sheria za kibiashara/ kijasiriamali kutungwa na mfanyakazi na kuidhiniswa na mwanasiasa ambao hawajui hata kidogo uhalisia wa mazingira yenyewe,,,, matokeo yake ni ugonvi mkubwa kati ya wadau husika na serikali au pia TRA n.k.
Ushauri wangu katiba mpya iwatambue hao wajasiliamali na wafanyabiashara kama sehemu ya jamii ya watanzania tena wenye jukumu kubwa la kiuchumi linalotegemewa na watu wote ili waweze kushiriki kikamilifu katika maamuzi yanayo wahusu hasa bungeni wapewe angaalau wabunge mmoja mmoja toka kila kanda za nchi. NAOMBA MASWWALI AU MAONI ILI KULIWEKA VIZURI HII HOJA MUHIMU....
Ushauri wangu katiba mpya iwatambue hao wajasiliamali na wafanyabiashara kama sehemu ya jamii ya watanzania tena wenye jukumu kubwa la kiuchumi linalotegemewa na watu wote ili waweze kushiriki kikamilifu katika maamuzi yanayo wahusu hasa bungeni wapewe angaalau wabunge mmoja mmoja toka kila kanda za nchi. NAOMBA MASWWALI AU MAONI ILI KULIWEKA VIZURI HII HOJA MUHIMU....