R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
''wamilikiwa vituo vya mafuta sumbawanga , wamegoma kuhuza mafuta ili kuhujumu wananchi waichukie serikali yao ''
unahujumu zoezi zima la mitihani ya kidato cha nne wakati wa usambazaji wa mitihani ; kwani ni vigumu kupata usafiri kwa wanafunzi ''Engineer stella manyanya''
mpaka sasa wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta , hali ni mbaya
unahujumu zoezi zima la mitihani ya kidato cha nne wakati wa usambazaji wa mitihani ; kwani ni vigumu kupata usafiri kwa wanafunzi ''Engineer stella manyanya''
mpaka sasa wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta , hali ni mbaya