mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Suala la chama cha mapinduzi kuwaepusha wagombea wao na midahalo ya wazi 'debates' kutokana na kutowaamini kiuewezo, imepelekea ofisi za umma kukaliwa na matango pori eti viongozi. Debate itasaidia sisi wananchi kuwapima na kufahamu uwezo halisi wa mgombea. Ccm imeligarimu taifa hili kwa kuandaa watu wasio na uwezo kushika nafas kubwa kabisa halafu hakuna cha maana wanafanya kaz kutoa majibu mepesi katka mambo magumu. Tume ya uchaguzi iratibu midaharo itakayowashindanisha mbele ya public. Marekani hili linafanyika kila uchaguz na linamanufaa sana kwa hiyo ingefaa liwekwe kwenye katiba mpya hivyo liwe la lazima na wananchi tukione hcho ambacho ccm hawataki tukione kwa kukacha midaharo. Kama unajiamini kwann uogope ku debate??