Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naiona hatari kubwa ya kuua elimu ya juu Wanasiasa badilikeni, bado mapema.
1 Reactions
13 Replies
299 Views
Umetumwa kutuuza, unasema tutoke tupambanie Katiba ili tufe wakati Katiba unayo kabatini na 'ufunguo unao'. Unataka Wanaharakati warudi ili uwauze wakamatwe unataka kuwauza vijana wafe halafu...
4 Reactions
10 Replies
205 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu ya Kwa Maslahi ya Taifa Jumapili ya leo, Tarehe 19 Mwezi Machi, ambapo leo ndio miaka miwili kamili ya Rais Samia madarakani, aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania siku...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Haya ndiyo madhara ya Elimu mbalimbali; Mtu level za akina Bashite na Baba Levo lakini kutwa kuchwa kujikuta kukimbilia tu PhD pasipo kujua uzito wa hadhi hiyo kitaaluma. 🚮🚮🚮
5 Reactions
8 Replies
277 Views
Wadau, Nimepata data muda si mrefu. Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi...
0 Reactions
429 Replies
69K Views
Shehe Mwaipopo mmiliki wa makundi ya kigaidi Kashfa ya shehe wa Dar na utenguzi Mtangane wa Ostaz Juma na Kishk Tamasha la bongo fleva Vituko dhalili vya kukata miuno vya Mwandambo Speech ya...
20 Reactions
29 Replies
594 Views
Hebu jaribu kidogo kufikiri hili; KWAMBA; Ana Rais yuko madarakani na yeye ni Makamu wake, yaani kiongozi mkuu wa serikali Na. 2... Na, chama chao ndicho kiko madarakani, kinaongoza serikali...
2 Reactions
6 Replies
206 Views
Nauleta mjadala huu unaogusa kiini cha unyonyaji na usaliti wa kiuchumi hapa Tanganyika, ambapo rasilimali za umma zimegeuzwa kuwa mali ya watu wachache na washirika wao wa kigeni. Nitachambua...
17 Reactions
58 Replies
886 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amewajia juu wanataaluma na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kwa kuendelea na masomo kama kawaida wakati mwenzao, Mhadhiri Melkisedeki Kaijage wa Chuo Kikuu...
13 Reactions
31 Replies
722 Views
Neno pambana ni neno la mtaani zaidi ambalo sio rasmi hutumika na wahuni kuashiri msirudi nyuma na usikate tamaa Lakini je watanzania wapambane na Nani kupata katiba mpya ? nilidhan PhD...
3 Reactions
6 Replies
130 Views
Facebook wamesema posting zangu zinatazamwa sana. To give you an example, video post moja yangu ilipata 300K+ views. I think it was 365K. Kwa hiyo nimeshangaa kuiona hili posting sasa hivi,post...
4 Reactions
3 Replies
120 Views
Ninapoona baadhi ya wana CCM wanasitasita kuhusu marekebisho ya Katiba ama kuwepo kwa katiba mpya huwa nawashangaa sana. Huwa nahisi kuwa kwa sasa CCM inaongozwa na watu ambao si CCM ama siyo...
0 Reactions
4 Replies
80 Views
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA HUDUMA ZA AFYA ZAHANATI YA KIJIJI NDULUNGU Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Ndg. Wazo Michael Mwang'onda, tarehe 24 Julai...
1 Reactions
2 Replies
66 Views
Jioni ya leo Katibu wetu wa CHADEMA kanda ya Serengeti Jackson Mnyawami amesomewa kesi ya mchongo ya UGAIDI pamoja na wanachama wengine zaidi ya 10 Shinyanga, usiku huu wamepelekwa Gerezani...
8 Reactions
40 Replies
588 Views
Wanabodi Habari za Jumapili?. Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo. Ukifungua katika ya JMT ya mwaka 1977, neno la kwanza kwenye katiba ni neon "KWA KUWA SISI Wananchi wa Jamhuri...
1 Reactions
9 Replies
365 Views
Kutokana na ongezeko kubwa la wimbi la ufunguaji wa kesi nyingi sana za Uhaini na Ugaidi hivi sasa nchini katika utawala huu uliopo, kuna kila sababu ya kuwa na mashaka makubwa juu ya intelijensia...
1 Reactions
8 Replies
181 Views
HAYA sasa mmepata mlichotaka baada ya kukaidi kuonywa muda mrefu sana. Yuko wapi mtoto wa Heche? Yuko wapi mtoto wa Mnyika? Yuko wapi mtoto wa Lema? Yuko wapi mtoto wa Msigwa? Yuko wapi mtoto wa...
1 Reactions
38 Replies
757 Views
Wanabodi, Naomba anza kwanza kwa kumsikiliza VP Balozi Dr. Nchimbi https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3 Kwa kauli kama hizi, kwa maoni yangu, kiukweli kabisa to be honest from the...
8 Reactions
45 Replies
871 Views
Assalam alaykum Jitu hili sio la kufanyia mchezo litangamiza roho za watu wengi mno Jitu hili ni hatari hata kwa viongozi wakuu wa nchi, hizi lawama anazopewa mama yetu ni bure hili...
17 Reactions
53 Replies
864 Views
Kumetokea mabishano makali bungeni kuhusu hotuba ya kambi ya upinzani kwamba iondolewe sehemu ya hotuba hiyo kuanzia ukurasa wa 1-4. SIKILIZA AUDIO YA UBISHI HADI MATUSI HAPA -> Yaliyojiri...
25 Reactions
120 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…