Huu mtiririko una kasoro mahali

Huu mtiririko una kasoro mahali

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,964
Reaction score
858,949
Shehe Mwaipopo mmiliki wa makundi ya kigaidi

Kashfa ya shehe wa Dar na utenguzi

Mtangane wa Ostaz Juma na Kishk

Tamasha la bongo fleva

Vituko dhalili vya kukata miuno vya Mwandambo

Speech ya Nchimbi

Hayatokei kwa bahati mbaya haya.. Kuna mkandarasi nyuma yake.. Na anajulikana
 
Tumestuka kirahisi mno!
IMG-20260724-WA0076.jpg
 
Shehe mmiliki wa makundi ya kigaidi

Kashfa ya shehe wa Dar na utenguzi

Mtangane wa Ostaz Juma na Kishk

Tamasha la bongo fleva

Vituko dhalili vya kukata miuno vya Mwandambo

Speech ya Nchimbi

Hayatokei kwa bahati mbaya haya.. Kuna mkandarasi nyuma yake.. Na anajulikana
Kuna kitu kinaitwa 'sayansi ya siasa'na hii watu wakaa darasani sana kusomea .
Hivi linapotokea tatizo au mfumuko wa kitu fulani serikalini chapu inatengenezwa ' kombora ' hewa l kuhamisha ule upepo uelekee sehemu ingine ili kuhamisha upepo wa wakali uliopo.na hii natafuta mtu maarufu fulani anahamish ki style.kwa mfano sa hiv upepo umehamia kwa tamko la nchimbi.
Hii inasahaulika kwa wananchi vifo vya 29 vile.
 
Kuna kitu kinaitwa 'sayansi ya siasa'na hii watu wakaa darasani sana kusomea .
Hivi linapotokea tatizo au mfumuko wa kitu fulani serikalini chapu inatengenezwa ' kombora ' hewa l kuhamisha ule upepo uelekee sehemu ingine ili kuhamisha upepo wa wakali uliopo.na hii natafuta mtu maarufu fulani anahamish ki style.kwa mfano sa hiv upepo umehamia kwa tamko la nchimbi.
Hii inasahaulika kwa wananchi vifo vya 29 vile.
Ghafla Ostaz Juma na Bela wametoweka🤣
 
Umeona ee na mwandambo hutomsikia tena hadi itokee jambo tena ..
Huyu makamu anajaribu kujisafisha ili mioyo ya wananchi ihamie kwake mana 2030 washaona kugumu mno na mama yenu kashaambiwa ake kumya kila atakacho sikia
Uzuri ni kwamba huko ndani kuna mapande matatu na hayapatani kabisa


View: https://vm.tiktok.com/ZSX73xxUM/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
 
Kuna kitu kinaitwa 'sayansi ya siasa'na hii watu wakaa darasani sana kusomea .
Hivi linapotokea tatizo au mfumuko wa kitu fulani serikalini chapu inatengenezwa ' kombora ' hewa l kuhamisha ule upepo uelekee sehemu ingine ili kuhamisha upepo wa wakali uliopo.na hii natafuta mtu maarufu fulani anahamish ki style.kwa mfano sa hiv upepo umehamia kwa tamko la nchimbi.
Hii inasahaulika kwa wananchi vifo vya 29 vile.
Yani tukio la October litoweke Kwa maneno ya nchimbi? Ni mpumbavu tu ndio atafikir hivyo, hilo tukio hata aje nani haliwezi kutoweka labda kupoa kidogo na mtu akilizungumzia linaanza upya tena kwa Kasi.
 
 
Back
Top Bottom