Hapa chini naomba tuangalie kiuhalisia hizi picha zinajionyesha na Mara nyingi picha uongea ukiiangalia,
Mkutano kwa siku ya leo ulimalizikia katika Kijiji cha Mbwewe,Pichani ni...
Serikali Kupitia Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na utalii wetu ndugu Lazaro Nyalandu imeziita habari zilizo ripotiwa na gazeti la Daily Mail la Uingereza juu ya Udhaifu wa Serikali kwenye...
Mwanasheria mkuu wa serikali,jaji Fredrick Werema, amesema serikali inakusudia kulishitaki gazeti la Daily Mail la Uingereza na mhariri wake kwa kumchafua Raisi Kikwete kuwa anafumbia macho mauaji...
Freeman Mbowe wa Chadema aliyevaa nguo za khaki...akiwa Ikulu na rafiki yake rais JM Kikwete wa CCM
Hivi kuna mtu anajua mawaziri vivuli wa Chadema ni akina nani na je kuna mwenye kujua...
Ninaamini kwamba baada ya John Pombe Magufuli kuuchukua uwenyekiti wa CCM taifa, atausuka kisayansi uongozi wote wa CCM kuanzia ngazi ya taifa na kushuka hadi mashinani.
Na kwa hiyo atakuwa...
WEDNESDAY, FEBRUARY 12, 2014
Moja ya mabango yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kwa ajili ya...
Published On: Tue, Jan 10th, 2012 |
The government has set aside 1bn/- which would be spent to rehabilitate Lindi Port located to enable it improve operations and income.
This was revealed by...
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6...
It is tooo unproportional to give tanzanian MPs, car loans, free drivers, 45 billions gratuity and 154% salalry increase while 90% of tanzanians heads live below the water!.These 300 Mps are...
Hivi hawa watoto wanasoma shule nzuri na maisha mazuri iweje wanajaza nafasi za balozi zetu nje?
inamaana hawawezi kusurvive kwenye private sector ambako hakuna patronage kama hizi balozi au...
Siku zote Makonda ameeleza kwenye vituo vya Redio na TV kuwa yeye ni mtoto wa masikini na hata wazazi wake ni masikini ila hakukubali umasikini huo ufifishe ndoto yake na ndiyo maana anafanya kazi...
Kwa kumbukumbu zangu,utaratibu wa TCU wa kudahili wanafunzi wa kujiunga na vyuo vikuu kwa kutumia mfumo wa komputa unaojulikana kama Central Admission System(CAS) ulianza mwaka 2012 na ni...
Kwa mnaomjua magufuli kiundani na wale mnachokijua chama hiki tumekuwa tunaaminishwa kuwa nchi itanyoka na mafisadi watakoma Magufuli akiwa mwenyekiti .
Lakini nikifikiria nashindwa kuelewa...
Ili kuboresha elimu ya chuo kikuu nchini wamiliki vyuo hivyo wanatakiwa kujipanga ki-lasilimali-watu. Ili kuimalisha quality ktk vyuo hivyo, tutorial assistants wazuiwe/wasiruhusiwe kufundisha ktk...
Leo Mh.Rais ametamka kuwa watumishi Raia hawatakiwi Majeshini, lakini je ametumia muda kulifikiria hata kuomba kushauriwa na kujiuliza chimbuko la majeshi kuwa na Watumishi Raia?
Kwa uelewa wangu...
Leo hapa Dodoma,Katibu Mkuu wa CCM Kinana ametoa taarifa ya vikao vya kesho na keshokutwa. Katibu Mkuu Kinana amesema,na ni kweli,kuwa Kamati Kuu(KK) itaketi kesho kupitisha jina la mgombea wa...
Kuna kila dalili za viongozi wa sasa kucopy na kupaste tabia mbaya ya kuhamisha mtu anayevuruga katika eneo moja na kumpeleka eneo jingine. Nimesikitishwa sana na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa...
Baada ya figisifigisuambazo ni kawaida sana kutokea katika mikutano mikubwa ya kimaamuzi ndani ya CCM sasa ni dhahiri kuwa Mheshimiwa Magufuli anaenda kukabidhiwa chama rasmi.
Wajumbe wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.