Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.
Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.
These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?