Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
 
viongoziikulu.jpg




hivi akina invisible, pasco, halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?
ha ha ha ha wewe kuvalia njuga ndio hela zitarudishwa za kutengeneza hiyo website?maana umehitimisha hela wamezila.sasa swali kwako ni transparency gani unayoitaka ambayo unategemea itawekwa kwenye hiyo website na kwingine kwa hali ya kawaida haijawahi kuwekwa?
 
Kupotezeana muda na kuharibu mazingira kuchapisha hizi taarifa kwenye karatasi jambo ambalo wangeweka kufanya na kuweka online

total disregard for environment
 
Ni kwa Muda tu muda ukifika itakuwepo, hata kama wakibana japo wangekuwa ni wapenda mabadiliko wangeshiriki kuyaleta na kuwa ni sehemu ya waliofanikisha na kuleta mapinduzi ya teknolojia ndani ya ikulu.

Time will tell sooon and very soon.
 
Hata wakiiweka hewani vitu gani vitakuwa vinawekwa vitu gani? Ziara za rais au?
<br />
<br />
hapo ndipo tatizo lilipo. Wanahofu pia kuwa watalazimika kuweka sehemu ya comment, wananch watatupia coment kibao.
 
Picha za raisi akihudhuria mazishi na misiba mbalimbali, akifutarisha, akibembea jamaica, akiwa na boyz II men na steven seagal, na vitu kama hivyo
<br />
<br />
Pamoja na ndoa zinazofungwa IKULU kama kumbi zinginge hapa mjini,zitawekwa humo.
 
viongoziikulu.JPG




Hivi akina Invisible, Pasco, Halisi na wengineo. Mkienda kwenye hizi press briefings za hawa wawili kwa nini hamuwaulizi kuhusu website ya ikulu ambayo iko under construction kwa takriban miaka 6 sasa.

Surely kuuliza si vibaya and its really embarrassing kama taifa na sasa naona its about time hili suala nikalivalia njuga upya kama nyie hamtaki.

These guys promised us transparency na pesa za kutengenza hiyo website zilishatolewa sasa cha kujiuliza pesa zimefanya kazi gani na nani kazila?


kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?

Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder

wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?
 
Tunaona: His Excellence kibao na The Chairman(Mwanamke alitajwa)!!!
 
kwani wewe website ndio the most important thing kwenye maisha yako?

Salva msimsikilize huyu mtu mwenye matatizo ya obsessive disorder

wizara ngapi hazina website na umenyamza why ikulu kila kukicha?

Wananchi wanaweza kuona ofisi yao kama Wananchi wa Marekani wanaonyeshwa Ikulu yao kupitia website ya white house wanawaonyesha wananchi wao hata maua yaliopo ndani ya Ikulu.Watanzania wapatao Millioni Alobaini na Ushee wapate walau kujua Nyumba yao kuu uzuri wake na wanalo la kusema litakalo saidia kujua na kuchangia maendeleo ya ofisi hiyo ambayo pia ni makazi ya Rais wa Taifa letu.Bofya hapa uone ya Website White house ya Marekani.

Tena itakuwa na taarifa kadha wa kadha zikiwemo picha na hotuba za Marais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wake zao waliopita ndani ya Mjengo huo.Dunia inabadilika hata kuonyesha machache kwa jamii ni moja ya mwamko wa kitekinolojia.Na itawapatia watoto wa shule na vyuo kupata taarifa na kupata jukwaa la kupata taarifa za masomo yao.Vile vle itatumika kujibu na kutoa picha maalumu za kutumika kwenye kutoa habari.
 
(weka swaga ya kihaya....ishomile.. HUYOO RWEYEMAMUU ALIVYONAWIRI ANAKUMBUKA HATA KAMA KUNA WEBSITE YA IKULU? hata ile taaluma yake ya uandishi ameitupa pale yuko kimaslahi zaidi.
 
Wananchi wanaweza kuona ofisi yao kama Wananchi wa Marekani wanaonyeshwa Ikulu yao kupitia website ya white house wanawaonyesha wananchi wao hata maua yaliopo ndani ya Ikulu.Watanzania wapatao Millioni Alobaini na Ushee wapate walau kujua Nyumba yao kuu uzuri wake na wanalo la kusema litakalo saidia kujua na kuchangia maendeleo ya ofisi hiyo ambayo pia ni makazi ya Rais wa Taifa letu.Bofya hapa uone ya Website White house ya Marekani.

Tena itakuwa na taarifa kadha wa kadha zikiwemo picha na hotuba za Marais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na wake zao waliopita ndani ya Mjengo huo.Dunia inabadilika hata kuonyesha machache kwa jamii ni moja ya mwamko wa kitekinolojia.Na itawapatia watoto wa shule na vyuo kupata taarifa na kupata jukwaa la kupata taarifa za masomo yao.Vile vle itatumika kujibu na kutoa picha maalumu za kutumika kwenye kutoa habari.


website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana

kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?

nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?
 
website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana

kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?

nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?

Tukianza kuorodhesha vitu au mambo yasiyo na maana hapo Ikulu, kitabakia kitu kweli au jina tu??!!
 
website sio mambo ya priority kwetu
serikali haina pesa za kuharibu kwenye mambo yasio na maana

kwani hiyo website ikishapandishwa ndio iweje?

nyie mnaoililia hiyo website mkishaipata then what?

wewe na nani?
wewe ni kilaza website inaweza kusave hela kuliko kuita wahandishi wa habari na kuongea nao kila kukicha kunapotokea
tukio, kwanza kama kuna website habari itafika kama ilivyo na kupunduza busy kutoka kwa mwandishi,
lakini pia itapunguza gharama kwa wahandishi wa habari kusafiri kwenda kumsikiliza mtu.

kumbukuka kuna mambo mengine kwenye PC ulinzi likiwa suhala moja wapo, PC zinatakiwa pale tu kitu kinachoitaji ufafanuzi
lakini pia kama kuna website na habari ikawekwa hapo kwanza wahandishi wakifika eneo la tukio watakuwa wamejianda vya kutosha kuuliza mashwali ya msingi kwa taifa
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom