VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,870
Leo hapa Dodoma,Katibu Mkuu wa CCM Kinana ametoa taarifa ya vikao vya kesho na keshokutwa. Katibu Mkuu Kinana amesema,na ni kweli,kuwa Kamati Kuu(KK) itaketi kesho kupitisha jina la mgombea wa Uenyekiti wa CCM Taifa.
Kikao cha Kamati Kuu kitafuatiwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kabla ya Mkutano mkuu maalum. Kinana amesema kuwa jina moja tu la Rais John Pombe Magufuli litajadiliwa na kupitishwa na KK kuwa mgombea wa Uenyekiti.
Sasa swali,jina hilo limepatikanaje na limepatikana lini? La nyongeza,kama kuna jina moja tu,kuna haja na mantiki gani ya vikao vya KK na NEC? KATIBA IHESHIMIWE!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Kikao cha Kamati Kuu kitafuatiwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kabla ya Mkutano mkuu maalum. Kinana amesema kuwa jina moja tu la Rais John Pombe Magufuli litajadiliwa na kupitishwa na KK kuwa mgombea wa Uenyekiti.
Sasa swali,jina hilo limepatikanaje na limepatikana lini? La nyongeza,kama kuna jina moja tu,kuna haja na mantiki gani ya vikao vya KK na NEC? KATIBA IHESHIMIWE!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)