Dar ni moja kati ya miji michafu duniani!
Tiba ya usafi wa miji sio kufagia kila ya mwisho wa mwezi! Tiba yake ni kuwa na predictable and controlled sources za uchafu! Lkn pia kuwa na mifumo...
KATIKA moja ya hotuba alizowahi kuzitoa Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere, kuna ile ilizungumzia mtu aliyegeuka jiwe baada ya kuangalia nyuma kutokana na kelele nyingi za kumzomea.
Mwalimu...
Wana bodi kuna kesi imetokea ya mauaji sasa kuna mama ambaye mwanawe amepewa kesi(amebambikiwa) ila polisi wapelelezi wanatudai rushwa ili tumtoe kaka naomba mamlaka husika iingilie kati kwani...
Watu wanahabari na habari zisizo wahusu na hawana habari na habari zinazowahusu.
Presha imekuwa kubwa kwa RC wetu wa Dar mpaka kufikia kuandika ujumbe huu ambao naona ni dongo kwa watu flani...
Edward Lowassa aliyekuwa kiongozi wa mtandao uliomuweka Kikwete madarakani na kuunda serikali iliyojulikana kama ya "wanamtandao" ameirushia tuhuma serikali ya Magufuli kuwa inawatosa wapinzani...
Habari wanaJF,
Muandishi wa habari za michezo na mchambuzi wa masuala mbalimbali ndugu Eddo Kumwembe ameibuka na makala ya kuelezea juhudi za Paul Makonda kuwa ni sawa na Usain Bolt asiyemaliza...
Kama kweli unajiamini na cheo chako basi WaZanzibari wanataka ukawatembelee wahanga wa mazombi ,wapo waliopigwa risasi,minyororo ,kupofuliwa,kuvunjwa viungo na mengine mengi.
umezuka na kauli za...
KATIKA kutekeleza tamko la Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) la kufika Dodoma kusaidiana na Jeshi la Polisi kuzuia Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bavicha Dodoma wameanza maandalizi...
Kama kuna mambo yanayotia hasara ni pamoja na hili la NSSF la ubadhirifu wa mamilioni ya pesa. Kumbe wao na mifuko mingine wanakopeshana mahela mengi na makubwa halafu sisi wenye pesa tunaambiwa...
Mbunge wa jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe jana Jumanne 19/07/2016 amemkaribisha rasmi Wilaya ya Hai, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo...
Walter Mguluchuma Sumbawanga .- Rukwa yetu
HATIMAYE wizara ya Ujenzi imeinyang'anya Kampuni ya Agriculture and Animal Food Industries Ltd (SAAFI) iliyomilikiwa na mwekezaji mzalendo,na...
Hebu naomba tutoe maoni juu ya fikra hizi 2 za ukuaji wa Uchumi nchini!
Hapa kuna waasisi wawili wa falsafa 2 mbili za uti wa mgongo wa uchumi wa taifa hili! Nyerere aliasisi kilimo na sasa...
CCM mpya Tanzania mpya
Hayawi hayawi sasa yanaenda kutimia...Tunahesabu masaa kuanzia leo kabla ya tarehe 23.7.2016 ambapo nchi mpya inaenda kuzaliwa. Ni nchi yenye jina lilelile Tanzania ila...
*MH. EDWARD LOWASSA ANGURUMA KATIKA UFUNGUZI WA KIKAO CHA BAVICHA LEO*
Awali ya yote aliwashukuru wajumbe Wa Baraza la vijana CHADEMA kwa kufika, akiwapongeza kwa kufanya kazi kubwa ya kusimamia...
Kararatasi za kura (kura ) zilizopigwa uchaguzi mkuu wa Marudio zanzibar kuchomwa baada ya miezi 6. Baada ya kukidhi vigezo vya Tume ya uchaguzi; Serikali ya Zanzibar hipo njiani kuchoma...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema nafasi hiyo hakuipenda sana lakini kwa kuwa aliombwa na wazee kuchukua nafasi hiyo ya utendaji mkuu wa chama alikuwa hana jinsi.
Kinana amesema kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.