Serikali itatoa hela za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosubiria kidogo kidogo kwa awamu na sababu kuu ni kuwa hawana hela, taarifa hizo nimezipata kutoka kwa uongozi wa chuo kikuu cha...
Kauli za kupishana kwa jambo moja lililopo eneo moja la kazi ni mzigo kwa taifa. Hili limewezekana hapa Dar juzi.
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni aliwaambia walimu wasiotosheka na mshahara waondoke...
Ukiitazama video hii na kukumbuka namna kampeni zilivyokuwa zikiendeshwa utapata jibu moja muhimu kwamba kuna wapiga kura wengi waliaminishwa kwamba hakuna fisadi mkuu Tanzania zaidi ya Mhe...
Watanzania ni Nani kawaroga?
Wakati JPM akijitahidi kuifanya Tanzania ifikie uchumi wa kati. Nadhani umasikini WA nchi hii unatokana na viongozi hasa wa hili lichama kukosa maono au mbinu mbadala...
habari wana jf...?
kama tujuavyo rushwa imekuwa kero ktk bara letu la Afrika na kwengineko,sababu zake nazani ni tamaa na umaskini.
kikubwa kilichonisukuma kuandika hii mada ni kukamatwa kwa wala...
Mbunge wa Vunjo James Mbatia amesema wao hawajasusia bunge ila wana hasira na mtu ambaye hata jina lake hawezi kulitaja, na huwa wanaingia akiwepo mwenyekiti mwingine wa bunge na wanashiriki...
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Mhe.Dk Joseph Pombe
Magufuli amesema kuwa
Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) watafungua ofisi nchini
Rwanda ili kuraisisha uhakiki
wa bidhaa kwa...
Ifike mahali wasomi na wanazuoni wakae chini nakutathimini utendaji wa huyu bwana mkubwa. Kipindi chake kumekuwa na mambo mengi ambayo Yana lets giza nene ktk uchumi wetu.
Jambo la kwanza...
Kesi iliyokuwa inaunguruma kuanzia tarehe 29.02.2016 katika mahakam kuu jijini Arusha imetolewa hukumu leo hii
Katika shauri hilo aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Longido Dr KIRUSWA...
Wewe ndo PCCB, wewe huyo huyo ni Mahakama, pia ni Mahakama kuu na rufaa. Heeeh kumbe wewe ni TRA pia na CAG wewe pia. Ukiangalia kwa engo nyingine wewe ni Daktari pia Mkurugenzi.
Wewe ndo waziri...
Jana nilipigwa na butwaa wakati mbunge mmoja wa CCM alipouliza juu ya ubora wa khanga na madera. Hoja hii iliwachwa muda mrefu huku muongeaji akiisemea kishujaa kabisa utadhani ni hoja ya...
Tangu raisi magufuli aingie madarakani amefanya mengi mazuri na mengine hayakufurahisha watu labda tuseme wewe lipi limekufurahisha na lipi halikukufuraisha tupate kujua ndani ya miezi 9 tisa hii...
wapendwa viongozi wangu kuna hii habari imekua ikitembea sana ikiongelewa na marekan na uingereza concerning abuse na kupata tenda ya uwindaji kimagumashi au rushwa hizi company mbili moja ya...
>Mtumishi atakayekwenda kusomea FIRST DEGREE anatakiwa achukue LIKIZO ISIYO NA MALIPO na hastahili kulipwa chochote na Mwajiri wake ikiwa ni pamoja na kutolipwa Mshahara kwakuwa HAYUPO KAZINI...
Philippines President Rodrigo Duterte tells people to 'go ahead and kill' drug addicts.
Na haya ni maagizo ya Rais Durtete kwa wananchi
""If you know of any addicts, go ahead and kill them...
Mh mtukufu rais magufuli angeendelea kupambapana na majipu,na akaachana na upinzani angefika mbali sana,lkn akiendelea kupambana na upinzani hatafika mbali sana kwenye malengo yake ya...
Wakati sakata la kampuni ya LUGUMI Enterprises likiendelea kutikisa nchi, mashine za utambuzi wa alama za vidole, zimeanza kufungwa katika mikoa kadhaa ikiwamo ya Dodoma na Geita.
Uchunguzi wa...
Kilango sasa awageukia akina Slaa
*Awataka wasiparamie hoja yake, wasubiri majibu
*Asema hoja ya Commodity Import Support si mpya
Na John Daniel, Dodoma
MBUNGE wa Same Mashariki...
1: J. Kikwete ni dhaifu.....Nimemmis J.kikwete
2: Mkipiga kura kalaleni nyumbani(msilinde) hawawezi kuiba kura.......Nimeibiwa kura zangu
3: Hatumtambui raisi John Magufuli.......Magufuli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.