Wakuu kwema, Mungu mwema siku zote na amani na haki ikawe nyoyoni mwenu
Rejea mada tajwa hapo juu. Wahuni uzeeka pia, wazee kama Wasira ni janga kuu katika taifa huwezi kuwa kiongozi halafu...
Wanabodi,
Information is power!, kitendo cha kumjua rais wa Tanzania wa mwaka 2030, kinakupa powers za kujua nchi inapoelekea, kwasababu unakuwa unajua tunakwenda kumpata rais wa namnagani...
Wakuu natanguliza Salamu , na baada ya salamu hii naingia moja kwa moja kwenye hoja.
Turudi nyuma kidogo ili tufahamu msingi mkuu wa kuanzishwa kwa hiki kinachoitwa maridhiano kati ya CCM na...
Na Hapa Vijana Mnielewe vizuri .
Kuanzia 2026 hakutakua na Ajira , Hakutakua na kupandishwa mishahara Wala Madaraja, Hakutakua 10% ya Vijana .
Wakati mnashangaa shangaa
Ulaya na Marekan...
Kwanza kabisa niseme mifumo wa mahakama na bunge ni mifumo iliyoparalise na haina nguvu za kusimamia mchakato wa katiba mpya.
Majukumu ya Bunge na Mahakama katika nchi yenye utawala wa sheria ni...
16 February 2026
Baraza la Dhahabu Duniani laashiria utayari wa kushirikiana na Tanzania kuimarisha sekta ya dhahabu - SADC
https://m.youtube.com/watch?v=W9De1WL7Rh8
Baraza la Dhahabu Duniani...
Wanabodi
Hii ni makala ya Jumapili ya leo.
Hili ni bandiko mwendelezo wa bandiko hili Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba...
Wanabodi
Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa CCM (UVCCM), Mohamed Kawaida, amechapisha ujumbe kwenye mitandao yake ya kijamii kwa kile kinachoonekana kujibu mapigo ya kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi...
Wanabodi,
Hii ni moja ya mada zangu za the voices from within ambazo ni abstract, za kufikirika tuu, sio lazima zitokee au hivi vitu ninavyo vizungumza humu, vitokee!.
Mada ya leo ni kuhusu...
Kuna wale ambao akishatenguliwa tu tayar anakuwa mpinzani...kabila lake halifai kuwa kiongozi.
Kuna wale hawawezi kukaa na kitu moyoni yani hawana Siri...wakibainika kabila lake halifai kushika...
UGAIDI/Uhaini wa kubambikiwa raia wasio na hatia ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.
Makosa haya mawili ndiyo makosa makubwa sana kwa mujibu wa makosa ya kijinai,hivyo unapompa tuhuma za...
Wanabodi,
Kufuatia ziara ya jirani yetu mmoja, kwa jina la utani Kasongo, hivi karibuni nchini mwetu na kulihutubia Bunge letu, akatufungua macho kuhusu fursa za mtambo wa kusafisha mafuta ghafi...
Japokuwa kauli ya Makamu wa Rais baadhi ya watanzania hasa wanaharakati wanaiona kama ni kauli ya kishujaa na kuwahamasisha wananchi wanaodai katiba mpya kutokata tamaa
Hata hivyo ni kauli yenye...
Ndugu zangu nimejiuliza maswali kadha wa kadha kuhusu suala la MWAJIRI kupitia ofisi ya Afisa utumishi kuingiza makato ktk mshahara wa mtumishi kwa vyama viwili tofauti vya wafanyakazi ktk...
Naomba kueleweshwa.
Makamu wa rais ana nafasi gani katika nchi?
👉Anahamasisha wananchi wapambane na nani ili kupata katiba mpya?
👉Wanasiasa Wanaoishi mahabusu na magereza Leo siyo kwa sababu ya...
Mliokuwa hamjui ni kwamba;
Moja ya hirizi ya uchawi wa CCM ulioteka na kuharibu akili za watu na kuwa kama mazezeta ni hii koroboi inayoitwa "Mwenge wa Uhuru..."
Godbless Lema wakati fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.