Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu kwema, Mungu mwema siku zote na amani na haki ikawe nyoyoni mwenu Rejea mada tajwa hapo juu. Wahuni uzeeka pia, wazee kama Wasira ni janga kuu katika taifa huwezi kuwa kiongozi halafu...
13 Reactions
20 Replies
337 Views
Wanabodi, Information is power!, kitendo cha kumjua rais wa Tanzania wa mwaka 2030, kinakupa powers za kujua nchi inapoelekea, kwasababu unakuwa unajua tunakwenda kumpata rais wa namnagani...
9 Reactions
79 Replies
2K Views
Hivi ndivyo ilivyoagizwa na Tayari ishaanza kufanyiwa kazi Ngoja tuone mwisho wa makatili hawa watakapoishia
11 Reactions
47 Replies
872 Views
Wakuu natanguliza Salamu , na baada ya salamu hii naingia moja kwa moja kwenye hoja. Turudi nyuma kidogo ili tufahamu msingi mkuu wa kuanzishwa kwa hiki kinachoitwa maridhiano kati ya CCM na...
14 Reactions
79 Replies
3K Views
Na Hapa Vijana Mnielewe vizuri . Kuanzia 2026 hakutakua na Ajira , Hakutakua na kupandishwa mishahara Wala Madaraja, Hakutakua 10% ya Vijana . Wakati mnashangaa shangaa Ulaya na Marekan...
5 Reactions
24 Replies
950 Views
Kwanza kabisa niseme mifumo wa mahakama na bunge ni mifumo iliyoparalise na haina nguvu za kusimamia mchakato wa katiba mpya. Majukumu ya Bunge na Mahakama katika nchi yenye utawala wa sheria ni...
3 Reactions
5 Replies
95 Views
16 February 2026 Baraza la Dhahabu Duniani laashiria utayari wa kushirikiana na Tanzania kuimarisha sekta ya dhahabu - SADC https://m.youtube.com/watch?v=W9De1WL7Rh8 Baraza la Dhahabu Duniani...
1 Reactions
14 Replies
534 Views
Wanabodi Hii ni makala ya Jumapili ya leo. Hili ni bandiko mwendelezo wa bandiko hili Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba...
12 Reactions
66 Replies
4K Views
Wanabodi Wanabodi, Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la...
17 Reactions
52 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa CCM (UVCCM), Mohamed Kawaida, amechapisha ujumbe kwenye mitandao yake ya kijamii kwa kile kinachoonekana kujibu mapigo ya kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi...
0 Reactions
13 Replies
284 Views
Wanabodi, Hii ni moja ya mada zangu za the voices from within ambazo ni abstract, za kufikirika tuu, sio lazima zitokee au hivi vitu ninavyo vizungumza humu, vitokee!. Mada ya leo ni kuhusu...
6 Reactions
19 Replies
604 Views
Kuna wale ambao akishatenguliwa tu tayar anakuwa mpinzani...kabila lake halifai kuwa kiongozi. Kuna wale hawawezi kukaa na kitu moyoni yani hawana Siri...wakibainika kabila lake halifai kushika...
1 Reactions
17 Replies
164 Views
UGAIDI/Uhaini wa kubambikiwa raia wasio na hatia ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Makosa haya mawili ndiyo makosa makubwa sana kwa mujibu wa makosa ya kijinai,hivyo unapompa tuhuma za...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Wanabodi, Kufuatia ziara ya jirani yetu mmoja, kwa jina la utani Kasongo, hivi karibuni nchini mwetu na kulihutubia Bunge letu, akatufungua macho kuhusu fursa za mtambo wa kusafisha mafuta ghafi...
4 Reactions
12 Replies
515 Views
Lazima kuwe na mawazo tofauti. Lazima kuwe na mawazo... Aliyetuumba mwenyewe ametuacha tukiwa na mawazo tofauti. Tuna Wakristo, tuna Waislamu, tuna ma-Buddha, tuna Wayahudi, eh tuna watu ambao...
15 Reactions
14 Replies
351 Views
Japokuwa kauli ya Makamu wa Rais baadhi ya watanzania hasa wanaharakati wanaiona kama ni kauli ya kishujaa na kuwahamasisha wananchi wanaodai katiba mpya kutokata tamaa Hata hivyo ni kauli yenye...
6 Reactions
9 Replies
129 Views
Ndugu zangu nimejiuliza maswali kadha wa kadha kuhusu suala la MWAJIRI kupitia ofisi ya Afisa utumishi kuingiza makato ktk mshahara wa mtumishi kwa vyama viwili tofauti vya wafanyakazi ktk...
7 Reactions
48 Replies
5K Views
Naomba kueleweshwa. Makamu wa rais ana nafasi gani katika nchi? 👉Anahamasisha wananchi wapambane na nani ili kupata katiba mpya? 👉Wanasiasa Wanaoishi mahabusu na magereza Leo siyo kwa sababu ya...
23 Reactions
29 Replies
473 Views
Mliokuwa hamjui ni kwamba; Moja ya hirizi ya uchawi wa CCM ulioteka na kuharibu akili za watu na kuwa kama mazezeta ni hii koroboi inayoitwa "Mwenge wa Uhuru..." Godbless Lema wakati fulani...
2 Reactions
2 Replies
52 Views
Back
Top Bottom