Mh Rais Magufuli mara kadhaa katika hotuba zake hupenda sana kutumia neno nachukua hatua kadhaa ili wanyonge wa nchi hii waweze nao kufaidi mema ya nchi yetu, anasema anafanya mabadiliko na...
Wabunge wetu hawataki tukope kwa kuogopa deni la Taifa.
Wabunge wetu hawataki tufinance miradi mikubwa kwa fedha za Serikali.
Wabunge wetu wanachukia serikali inapodhibiti mianya ya ukwepaji...
Mahakama kuu ya Dar es salaam imemhukumu muigizaji wa filamu, Elizabeth Michale, maarufu kama 'Lulu', kifungo cha miaka miwili baada ya kumtia hatiani kwa kuua bila kukusudia msanii mwenzake...
Habari za majukumu wana JF.
Tunashukuru kwa kupewa updates za maendeleo ya matibabu ya Mh Tundu Lissu pamoja na gharama zake.
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua maendeleo ya matibabu ya dereva...
Katika historia kuna aina kadhaa za mawakala wa mabadiliko yoyote Yale duniani ( Change agents).
Kwa mfano, kuna The Negotiators ndani ya kundi hili wamo Martin Luther King, JK Nyerere, Nelson...
Kwa ufupi
Kigwangalla anasema rushwa katika ugawaji vitalu; migogoro ya ardhi kati ya wananchi na hifadhi na utoaji vibali vya uvunaji magogo ndizo sababu kuu zilizowaondoa watangulizi wake.
By...
Habari zenu wote, wote tumejionea matendo na mienendo tangu serikali hii iingie madarakani. Maslahi ya Wafanyakazi yamepuuzwa sana kwa kuleta visingizio vya uhakiki ambao si kweli, pia imeelekea...
Nilidhani kubana pesa za safari za nje ya nchi zisizo na tija na kutumia pesa hizo hizo kununulia vyombo vya usafiri kama ndege, meli na hata ujenzi wa reli itapendeza!
Sasa nashangaa mbona...
Tanzania imesitisha mkataba wa Miaka. 25 ya Uindaji iliyouingia na familia ya Mfalme wa Umoja wa.Falme.wa Kiarabu (UAE).
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangala ameagiza Taasisi...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi kuwachukulia hatua watumishi wa umma ambao hawajajitokeza kufanya mazoezi ya viungo kwa madai kwamba wamekiuka agizo la Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu la kuwataka...
Akizungumza leo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa asema kuwa, Magari yote ya Serikali yanapaswa kutengenezwa na WAKALA wa ufundi wa umeme (Tanzania Mechanical and...
Hapa chini ni hotuba ya Mh Mbowe, M/kiti wa CHADEMA kwenye kampeni za chaguzi ndogo.
Najiuliza tu, kama yaliyomo kwenye hotuba hii, yanawakilisha ilani ya chama iliyokuwa na kaulimbiu ya Ni...
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Utawala Bora,Capt.George Huruma Mkuchika,ameionya Halmashauri ya Ujiji kuendelea na mpango wake wakuwa ndani ya OGP wakati Serikali Kuu imejitoa...
Ni jambo la kutafakari juu ya urafiki kati ya Magufuli na Kagame. Binafsi nimependezwa sana na maendeleo ambayo Kagame ameiletea Rwanda, lakini niko macho sana na gharama ambayo Rwanda wamelipa...
Naomba kujua alipo huyu kijana aliyekuwa na uwezo wa kumjibu mwenyekiti kwenye vikao bila kupepesa,kijana wa mwisho kuwa na mvuto ndani ya uvccm sasahivi yupo wapi?
Muongozo wa Mbunge wa Mafinga, Cosato Chumi kuhusu taasisi iliyotoa matangazo kwenye vyombo vya habari ikitaka wanafunzi wa vyuo vikuu waliokosa mikopo waombe mikopo katika taasisi hiyo kwa kutuma...
Anaandika Moses Machali!
Mbunge wa zamani Kasulu Mjini
Nimeona watu mbalimbali kama wakistuka baada ya kusikia kwamba deni ya Taifa limeongezeka kwa Asilimia 17 kutoka Dolla za Kimarekani Bilioni...
UNAUMIA JINSI WANAVYOMSHANGILIA? NISIKILIZE MIMI.
Baada ya Idd Amin kumpindua aliyekuwa Rais wa Uganda (Milton Obote) kazi kubwa aliyokuwa nayo ni kueneza propaganda kwa wananchi wa Uganda ili...
KATIKA kuelekea katika Tanzania ya viwanda, Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania wazalendo kuwekeza miradi mbalimbali hapa nchini badala ya kusubiri watu kutoka mataifa ya nje.
Ndugai...