Yupo wapi kijana hodari Beno Malisa?

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,577
Naomba kujua alipo huyu kijana aliyekuwa na uwezo wa kumjibu mwenyekiti kwenye vikao bila kupepesa,kijana wa mwisho kuwa na mvuto ndani ya uvccm sasahivi yupo wapi?
42b2c6310309c65c5bd5d2923f0aaf2c.jpg
ad14e1fe8650e073842e61af5ae13a80.jpg
 
Naomba kujua alipo huyu kijana aliyekuwa na uwezo wa kumjibu mwenyekiti kwenye vikao bila kupepesa,kijana wa mwisho kuwa na mvuto ndani ya uvccm sasahivi yupo wapi?
42b2c6310309c65c5bd5d2923f0aaf2c.jpg
ad14e1fe8650e073842e61af5ae13a80.jpg


HABARI,
Niliwahi sikia kwamba alikuwa Kambi ya lowasa na wakakosana na Ridhiwani na kwa nguvu ya maamuzi ndani ya chama Ya Ridhiwani kipindi hicho Malisa akapunguzwa nguvu.Ila nimesikia kwa sasa Malisa bado ni mwanachama mtiifu na anafanya bishara zake kama wanachama wengine ninamtabiria makubwa sana ndani ya chama kama kweli hayo niliyoyasikia ni kweli.

Utiifu ndio nguzo pekee mwanachama anayotakiwa kuwa nayo ndani ya chama.

LUMUMBA
 
Back
Top Bottom