Mwaka 2011 Paul Makonda akiwa ni mwanachama wa UVCCM alitoa Tamko hili lifuatalo. Swali langu kwa leo ni jee Leo Makonda akiona vijana wenzie ndani ya UVCCM wakitoa tamko kama hili dhidi ya...
Sometimes huwa nawaza badala ya kulifanyia matengenezo gari la Lissu lillomiminiwa risasi zaidi ya 30 kama Tembo, ni bora gari lile likahifadhiwa mahali, ikiwezekana hata makao makuu ya chama, ili...
Kauli za Prof.Mwandosya baada ya matokeo ya mgombea urais CCM
Profesa Mark Mwandosya alisema majina matano yaliyoletwa kamati kuu hayakupitia kamati ya maadili ila yalikuwa majina ya mwenyekiti...
Mbunge wa Mbeya mheshimiwa Joseph Mbilinyi alimtolea uvivu waziri wa elimu prof Ndalichako kufuatia ripoti yake aliyoitoa kuhusu mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini
Sugu amesema...
Ndugu zangu,
Jana na leo kwenye gazeti la Mtanzania kuna habari kumhusu Dr Slaa na anavyoishi akiwa ughaibuni.
Inasemwa, kuwa kuna wenye kumshangaa Dr Slaa kufanya kazi ikiwamo ya kwenye duka...
1. Uwanja wa Ndege Chato
2. Kupaa deni la Taifa
3. Sekta Binafsi
4. Wabunge wa Zanzibar
5. Kushambuliwa kwa Lissu
6. Hoja ya Mbowe
Mambo haya yote yameonyesha wazi kua Serikali haiendi sawa...
Kwa nini watz wanalazimishwa kwa maneno kuuombea utawala huu !!
Kwa nini ushawishi wa kuunga mkono ni wa kulazimisha kwa maneno yarudiwayo kila siku , tatizo liko wapi !!
Naamini matendo...
Naomba kupata ufahamu kutoka kwenu great thinker chimbuko la watawala hawa (Kagame na Mseveni), kutokana na story za mtaani inasemekana walikuwa wamoja katika harakati mbalimbali.
Naombeni...
Kapataje uinjinia? na kiwango chake cha elimu kikoje? tujue haya kabla hajaanza kutimua kazi walimu wakuu kama alivyosema kuwa atawatimua kazi kama atawakuta wanafunzi wasiojua Kusoma Kuhesabu...
Jamani kuendelea kumlipa mishahara na posho mtu mwenye akili za kiwango cha chini kiasi hiki ni kulitendea haki taifa?
Hivi hakuna njia ya kikatiba au kisheria kumng'oa mbunge "hewa" kama huyu?
Heshima,
Kukua kwa uchumi wa nchi au kupata maendeleo kwa nchi lazima kuendane na hali za maisha ya watu kubadilika, kutoka duni kwenda bora.
Nimeangalia takwimu ambazo ni indicators for...
Mimi nafikiri turudishe yule "mjusi mkubwa" alieko Ujeruman pamoja na "fuvu" la Mkwawa tukaongeza na vivutio vingine vya kuzugia alafu tukaviweko huko Chato katika mazingira mazuri huenda...
Pemba inahitaji airport kubwa kuliko Chato. Wasafiri wapo na wafanyabiashara wapo wengi tu tena wa Kimataifa.
Pemba tuna mazao ya Biashara ya Kimataifa. Pemba tunaingiza Watalii wengi sana kuliko...
Mungu alimuumba MTU akampa akili, ufahamu, ujuzi, taalamu na maarifa. Ndo maama leo mtu akiumwa hatakiwi kwenda kanisani na msikitini kuombewa anatakiwa aende hospital akatibiwe. Mungu aliumba...
Mh Nape anasema kuwa haoni umhimu Wa serikali kuwekeza kwenye miradi mikubwa!!lakini kama serikali ikiwekeza humo kwenye miradi mikubwa inawafanya hata sekta binafsi kufanya vizuri ili kushindana...
Jana niliandika mada kuhusu kushake kwa diplomasia ya Tanzania kimataifa. Ulikuwa ni ushauri tu kwa viongozi wetu ambao kimsingi siyo watawala kwakuwa tume/wamechaguliwa.
nilipata kebehi KUTOKA...
Leo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa...
Nimekaa na kuchunguza utawala Wa Rais Magufuli na nilichokiona kimenifanya nishindwe kumtofautisha sana na Rais wa TFF Jamal Malinzi.
Tofauti yao pekee nimeiona katika suala la kubana matumizi...
Salaam,
Kama kichwa kinavyojieleza, Rais Magufuli aliingia madarakani kwa kujipembenua kwamba anapigana vuta dhidi ya ufisadi na uwizi ambao, kwa kipindi cha miaka 20 akiwa ndani ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.