Naomba kwanza niweke wazi kuwa naweka uzi huu kama sehemu ya MCHANGO WANGU kwa nchi yangu Tz.
Naamini hapa JF ni sehemu ambayo serkali na viongoz wengi huchukua mawazo mengi mazuri kwhyo nmeona...
Takribani sasa ni miezi miwili na nusu tangu rais wa chama cha wanasheria aliposhambuliwa akiwa yeye na dereva wake
Huyo dereva inasemekana kwa kiasi kikubwa ndiye aliesaidia kumnusuru bosi wake...
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa agizo kwa wakuu wa wilaya na wakuu wa shule Mkoani humo kumkamata na kuwaweka ndani wazazi na mwanafunzi yeyote wa kike atakayebainika kuwa na...
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe leo atakuwepo kwenye kampeni za udiwani Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani kata Reli.
Ambapo atahutubia wananchi wa kata Reli na kumpokea rasmi...
Jumuiya ya watanzania wanaoishi Diaspora (Marekani) ijulikanayo kama Sixth Region Diaspora Caucus Washington kwa pamoja wameamua kuunga mkono jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul...
Ndege ilizuiwa kwa sababu tuna deni. Ilifanyiwa garnishment. Njia pekee ya kuirejeaha ndege ni kulipa deni au kukata rufaa International Court of Arbitration (ICA), a court of ICC; na tukashinde...
Tanzania ya miaka ya 60, 70, 90 na kuendelea ina kumbukumbu nyingi ambazo nyingi tunaziongelea katika mazungumzo yetu ya kila siku kila tunapozungumza mambo ya siasa, uchumi, kijamii na historia...
Acacia imetoa taarifa ya mabadiliko kwenye uongozi wake ambapo Mkurugenzi Mtendaji, Brad Gordon na Mkurugenzi wa Masuala ya Fedha, Andrew Wray wametoa taarifa kwa kampuni hiyo juu ya nia yao ya...
Kweli hesabu haidanganyi hili taifa lishakuwa la waongo waongo na walaghai.
Tuliaminihswa makusanyo yamepanda na kila mwezi katika makusanyo tunalipa deni la taifa bil 900 inakuwaje deni linapaaa...
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Frederick Sumaye ambaye kwa sasa ni mwanachama wa CHADEMA, amesema upinzani hauwezi kukubali kuacha CCM iendelee wakati hali ya maisha ya...
Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa Amezindua Rasmi kampeni za udiwani kata Moita Monduli na kuwaambia wananchi mchezaji wa Yanga akiumia hawezi kuingia wa Simba atakuwa wa yanga tu .kampeni hizo...
Kulaani azimio la kumwelekeza mwendesha mashtaka wa ICC kuichunguza Burundi si hoja kuu, bali umelaani bila kufuata taratibu tunadhani Museven angepaswa kuzifuata.
Angeitisha kikao cha...
Wakuu,
Mnamo mwezi March mwaka huu, Rais alizuia mchanga wa dhahabu(makinikia) kusafirishwa kwenda nje ya nchi. Kilichofuata ni kuundwa kwa kamati mbili za uchunguzi wa makinikia hayo...
Atleast 17 people were killed and 253 others injured in Tanzania, with most of the casualties occurring in the town of Bukoba , which suffered widespread damage. In the immediate aftermath of he...
Na:Faida potea Mjukuu wa Njelekela
Kwa mujibu wa baraza la taifa la biashara Sekta binafsi linalenga kukuza pato la taifa kufikia asilimia 60 pamoja na kutoa asilimia 40 ya ajira kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.