Kama nilivyosema jana kuwa leo kabla ya saa nane mchana nitaweka wazi unafiki wa Zitto katika suala la posho , suala ambalo halihitaji vikao vya Chama kulijadili isipokuwa vyombo vya habari na...
Wakuu poleni na pilikapilika za Mapokezi, hakika leo historia imeandikwa, sasa kwa vile mambo ni mengi na muda ni mchache naomba niingie moja kwa moja kwenye mada.
Baada ya Mapokezi mazito ya...
Kwako Paul Makonda, mkuu wa mkoa wa Dar es salaam,
Hongera na pole kwa jukumu ulilopewa la kuongoza jiji kubwa kuliko yote Tanzania. Ni imani yangu unalimudu jiji vizuri kabisa hata kuiridhisha...
Dowans suffers 3bn/- penalty former Richmonduli
Daily News Reporter
Daily News; Thursday,October 04, 2007 @00:02
TANZANIA Electric Supply Company (Tanesco) has asked 2.43 million US dollars...
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la kuhamasisha a mass mobilization ya kupata kundi kubwa la watu, kuunga mkono kwa dhati, juhudi kubwa zinazofanywa na Mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul...
Hali inakuwa tete katika nchi yetu. Kanisani Parokia ya Olasit kumetokea mlipuko haijajulikana kama ni bomu au la ila watu wamejeruhiwa inasikitisha.
Source: Radio Maria
================
Updates...
Kama kichwa kilivyo, Dr Slaa yupo live Star Tv kwenye kipindi cha Agenda 2015.
========
Update
"Sina account Twitter, ila ninayo JamiiForums na Facebook ambazo ziko active".
"Watu walitumia...
Habari wakuu,
Leo Jumanne, tarehe 28 Julai, 2015, chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kitampokea rasmi Edward Lowassa kuwa mwanachama wake mpya kutoka chama tawala, tukio hili pia...
WanaJF,
Leo ni tarehe 4/8/2015 siku ya Jumanne.Ni alfajiri njema kabisa ambapo Taifa litasimama wakati likishuhudia mkutano mkuu wa CHADEMA mshirika wa UKAWA utakaokuwa na kazi moja kubwa ya...
Saa tisa kamili kikao cha nne cha Mkutano wa kwanza wa Bunge la 11 kitaanza rasmi na kuhutubiwa Rais wa Tanzania John Magufuli.
Mkutano huu utahudhuriwa na viongozi karibu wote wa juu akiwemo...
TAARIFA YA ZITTO ZUBERI KABWE (MB) KUHUSU KUVULIWA NAFASI ZA UONGOZI NDANI YA CHAMA CHANGU CHA CHADEMA
1. Utangulizi
Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba...
Askofu Zakaria Kakobe leo akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, amenukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli.
"Rais...
--Kwa Ufupi--
Wakili msomi Mhe. Tundu Lissu ameshinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa, sawa na ushindi wa 88% ya kura zote.
Katika...
Heshima mbele sana wakuu,
Najaribu kuichungulia 2015 miezi ya october endapo mchuano utakuwa ni kati ya hawa vinara wawili ni nani atakuwa na nafasi kubwa ya kuukwaa urais wa nchi hii.
Wote ni...
Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na...
Wakuu,
Kama ilivyo kawaida yetu kuwahabarisha kupitia hapa, tutaendelea kuwaletea kila kinachojiri, kuanzia kufunguliwa vituo vya kura, upigaji kura, flow ya wapiga kura, matukio yoyote...
Dalili zinaashiria CDM kuibuka na ushindi dhidi ya CCM.
MODERATOR NAYE ANAJARIBU KUCHAKACHUA,,,, UKWELI NI KWAMBA CDM INAONGOZA. KURA ZA VIJIJINI MNAZOZIONA SIO HALISI KAMA ZILIVYO KWENYE...
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA
Hatimaye, Waziri Mkuu aliyejiuzulu...
Humu ndani, kuna watu wakiona Hayati Julius Nyerere, the First Preisdent wa URT anasemwa vibaya basi wanakuja juu!! Kinachonikera mimi, ni wengi wao kuhusisha na imani za dini!
Kwamba, mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.