Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,711
- 218,260
Wakuu poleni na pilikapilika za Mapokezi, hakika leo historia imeandikwa, sasa kwa vile mambo ni mengi na muda ni mchache naomba niingie moja kwa moja kwenye mada.
Baada ya Mapokezi mazito ya Nabii wa Mungu Godbless Lema, Jioni hii tena kuna Mkutano kabambe wa hadhara unaofanyika viwanja vya relini Jijini humo.
Tayari viwanja hivyo vimenona, Wananchi kwa maelfu wamejitokeza.
Hali ndio kama mnavyoiona.
Kwa vile leo wazungumzaji ni wengi, akiwemo Baba Askofu Mwamakula basi tutaweka, vipande vya hotuba vya kila msemaji kwa ufupi ufupi.
Kama kawaida Mtumishi wenu Erythrocyte nitawaletea yote kwa uaminifu mkubwa.
Usiondoke JF
==========
UPDATES
Sugu amemuomba Gambo ajenge nyumba mapema ili asije akarudi kwenye ghetto la ukoo Ilala.
Baada ya Mapokezi mazito ya Nabii wa Mungu Godbless Lema, Jioni hii tena kuna Mkutano kabambe wa hadhara unaofanyika viwanja vya relini Jijini humo.
Tayari viwanja hivyo vimenona, Wananchi kwa maelfu wamejitokeza.
Hali ndio kama mnavyoiona.
Kwa vile leo wazungumzaji ni wengi, akiwemo Baba Askofu Mwamakula basi tutaweka, vipande vya hotuba vya kila msemaji kwa ufupi ufupi.
Kama kawaida Mtumishi wenu Erythrocyte nitawaletea yote kwa uaminifu mkubwa.
Usiondoke JF
==========
UPDATES
Sugu amemuomba Gambo ajenge nyumba mapema ili asije akarudi kwenye ghetto la ukoo Ilala.