Vodka na warusi sasa leo waitaliano wameleta hizi
Najiuliza Huyu mgana ambaye wamemwandaa ionekane wanafuatilia anayemfuatilia makamu wa Chama kikuu cha Upinzani kwanini iwe hivi?
Tuko hatua...
Nimevutiwa sana na namna msanii huyu Dudubaya anavyoweza kuvuta watu wa rika zote bila kutumia nguvu.
Msanii huyu anao mvuto wa kipekee kwa miaka mingi.
Nimependezwa na aliyebuni utaratibu wa...
Tabia za Ajuza sometimes
1)kupoteza kumbukumbu
2)Kutofanya kazi kwa ufanisi
3) kutokufuatilia mambo ya msingi,kutegemea watu wengine.
4)kukosa nguvu na Madini kupungua
5)Kukosa Mvuto.
Ccm mna...
Ukiachilia mbali kukosekana discipline katika kueneza itikadi, sera na agenda za vyama hivyo vya siasa vya upinzani nchini, na pengine utamaduni usio na staha wa uropkaji, kutukana na kuporomosha...
Hypothetical budget
Makamishina 6. Kila mmoja posho zooote....ie siting allowance, per diem, "salary "trànsport etc etc... yaani kama wabunge wanavyokula posho na mshahara......combine...
Ilianza siku 100
Ikafuata Tume ya Chande
Zikapita purukushani za PM mikoani
Hali ikawa tafrani waraka ukaja kutoka kila kona
Waraka unaisha tarehe August 10 sisi tumekuja na tume
Tume imepewa...
Wanabodi,
Hii ni thread muendelezo wa uzi huu, Japo kwa Jinsia ni Mwanamke, Lakini kwa Mawazo, Maneno na Matendo, ni Mwanamume! Uamuzi Huu ni wa Kiume! Big Up Sana kwa Uamuzi Huu wa Kiume
uzuri...
Hili ni swali fupi sana lakini linaweza kuwa na majibu marefu sana, Na kwa kweli Nchini Tanzania Watu wanatekwa na kupotezwa, Hilo halina Ubishi.
Mambo haya yalipofanyika awamu ya 5 aliyeamuru...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani, usalama na utulivu wa nchi, akieleza kuwa ndio msingi mkuu wa maendeleo na...
Kumteka mwanachama wa CCM kwa sababu amethubutu kuikosoa serikali na chama chake ni ishara ya hatari sana kwa demokrasia yetu.
Soma Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa...
Mradi mkubwa wa maji kutoka Buzirayombo na matangi yamejengwa Itare ambayo baada ya kukamilika ulituaminisha utamaliza kero ya maji kwa wila ya Chato na baadhi ya maeneo ya Biharamulo.
Ukweli ni...
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amewakosoa vikali baadhi ya vijana hasa wale wa CHADEMA kwa kile alichokiita kejeli na kubeza hotuba ya...
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa!
Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera...
Kama wahadhiri wanakamatwa kwa kuelezea namna uhuru wa kuandamana na kujieleza ulivyowekwa kwenye Katiba ya JMT.
Hii dira ya 2050 itatekelezwa kwa namna gani? Huku CCM hawataki taifa liwe na...
Majaji wawili kutoka Uganda na Namibia ni miongoni mwa makamishna sita watakaochunguza waliohusika na makosa ya jinai na ukiukwaji wa sheria uliotokea kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa...
Salamu kwa wote.
Bado naendelea kutafakari ni namna gani taifa litaondoka kwenye huu umaskini na ufukara ukiopo kati ya wananchi dhidi ya utajiri wa rasilimali zake.
Kwa mfano nchi ya Luxembourg...
Vyombo vya habari Namibia ikiwepo Shirika la Utangazaji Namibia (NBC) vimeripoti taarifa ya Naibu Jaji Mkuu wa Namibia kuombwa na Tanzania kujiunga katika Tume ya Uchunguzi Tanzania
Naibu Jaji...