Tunabuy time...... Tunabuy time 2030 itafika kimasihara

Tunabuy time...... Tunabuy time 2030 itafika kimasihara

Katukatu

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
563
Reaction score
957
Ilianza siku 100
Ikafuata Tume ya Chande
Zikapita purukushani za PM mikoani

Hali ikawa tafrani waraka ukaja kutoka kila kona

Waraka unaisha tarehe August 10 sisi tumekuja na tume
Tume imepewa miezi 5 na option ya kuongezewa muda Jan 2027 na kuendelea hiyooooooooooooooooooooo
watakuja na stori mupya ndani ya hiyo miaka miwili itakayobaki kumbuka kuanzia Feb 2030 Joto ya la uchaguzi litapanda hivyo hatuhesabu huo mwaka

Plan iliyopo ni kupita 28na 29 tu hivyo mambo yatakuwa yale yale na atamaliza muda huo bila tume ya uchaguzi wala katiba mpya😛😛
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU.
Baba hawa watu wana script utaona
 
Upo sahihi!

Hizi tume ni ku buy time
 
Back
Top Bottom