Serikali ya Tanzania inaniwinda mimi binafsi, kwasababu haipendi tunafanya na tunasema ukweli, Serikali ile ya Tanzania ni ya kiimla haikuchaguliwa na Wananchi wa kweli, ni serikali ambayo imeiba...
Hii ni Hotel ya Kisasa ya Hayati Lukuvi, Ambaye ni Mtumishi wa Umma tangu amalize shulei hadi alipofariki
Mishahara ya viongozi wa TANZANIA inafahamika, Ndio Maana Nyerere hadi anakufa Hakuwahi...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema hali ya kiafya ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu na mazingira yanayomkabili, ambaye amekuwa akishikiliwa kwa kile alichokiita "kesi ya uongo,"...
Babu yake alikuwa Akida sijui Liwali kwenye serikali ya kikoloni.
Baba yake akawa DC kwenye serikali ya Nyerere.
Mtoto mtu akawa Rais, na bado ana ushawishi.
Mke wake ni mbunge.
Mtoto ni naibu...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutarifu umma kuwa leo, tarehe 10 Aprili 2026, Makamu Mwenyekiti wa chama, Mheshimiwa John Heche, ameongoza jopo la viongozi wa chama katika...
Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera ambaye ni Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, ameendelea na ziara ya kukutana na wadau mbalimbali wa nchini Tanzania ambapo leo Aprili 13, 2026...
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, James Ole Millya amesema Tanzania ikiwa mwanachama mwaminifu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), itaendelea...
Dakika kama kumi na tano hivi zilizopita, kuna mdau (mwanaharakati) mmoja huko katika mtandao wa X, amedai kuwa clip ya Nchimbi ambayo anasikika akimsifia Nyerere imefutwa katika zile page ambazo...
Nadhani mtakubaliana nami, sidhani kama Watanzania wanahitaji wanahitaji mabadiliko kwa sasa.
Maana tukianza na mabadiliko kwanza majangili watatuchezea nakuleta lichama B maana wana watu wao...
Akichangia hotuba ya Waziri Mkuu leo Aprili 13, 2026, Mbunge wa Jimbo la Segerea Bonnah Ladislaus Kamoli amesema kuelekea AFCON 2027 Tanzania inatarajia kupokea wageni lakini miundpmbinu ya Mkoa...
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba levo amesema kuwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawapo bungeni kwa ajili ya kukubaliana na kila hoja inayowasilishwa, bali...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Balozi Stephen Mbundi, Ikulu ya Chamwino...
Solidarity with my young sister Paulina Pallangyo @ms_walterss as she faces yes another persecution because of her legitimate belief in equality of men and women.
Samia Suluhu’s regime has...
Akichangia hoja bungeni leo Aprili 13, 2026, Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini, Fadhili Chilombe amesema haya;
"Serikali iongeze usimamizi wa kazi za TARURA. Ziko baadhi ya sehemu katika nchi...
Akichangia hoja bungeni leo Aprili 13, 2026 Mbunge wa Jimbo la Bariadi, Masanja Kadogosa amesema haya
"Lazima kama taifa tujiwekee mpango kwamba tunaanza pengine usafiri wetu wa public, mabasi...
Moja ya sababu kwanini Tanzania ilipigwa ban ya visa in US, ni tuhuma kwamba watanzania wanatumia sana kodi za serikali ya US kwa kuomba benefits mbali mbali badala ya kufanya kazi.
Lakini...
Waziri Kombo Akutana na Waziri wa Singapore Kuimarisha Uhusiano na Ushirikiano wa Kiuchumi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amekutana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.