Habari wana JF
Kama kichwa kinafyojieleza hapo juu.
Hii mikataba mbalimbali ya kimataifa ambayo serikali husaini kwa ajili ya ushirikiano wa kimataifa na upatikanaji wa fedha za maendeleo kwa...
Happy Sunday guys ❤️
Humu jukwaani kuna ile standard Ukiingia jukwaa fulani, unajua utakutana na nini
Ukiingia jukwaa kama hili la siasa unajua kabisa utakutana na quality fulani
Hata kama huyu...
"Mimi pia maneno yale, nilikuwa wakili wa kwanza kufanya kesi ya ugaidi mahakamani kuwatetea watu, mashehe wa Arusha, waliokaa gerezani kwa miaka tisa. Halafu baadaye mahakama ikathibitisha...
Ripoti hii si uchunguzi wa kweli; ni jaribio la kisiasa la kuficha nyayo za utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uchaguzi wa Oktoba 2025 ambao, kwa mujibu wa taarifa hii, ulikuwa wa...
https://youtu.be/Ic6aeqb4dQ4?si=wMGbIlaoqB7qvBm8
Hii ni very exclusive and the best ever interview kati ya mtangazaji mwanadada huyu wa NijuzeNews TV na Wakili Msomi Peter Madeleka juu ya mambo...
Wazee wa Geti Jeusi hebu tupia kitu cha kutuchangamsha Mjini.
Hizi mbanga za Simba na YANGA Sasa hivi Hazishitui tena...leteni vitu vipya tuchangamke Mjini
Mahojiano ya Wakili Peter Madeleka, yaliyorushwa na SAUT Digital Agosti 9, 2026
eo:
Madeleka: Kitakachokwenda kupatikana kwenye tume hii ni ripoti. Ripoti ambayo ni mali ya Rais. Mali ya Rais...
Wakili Peter Madeleka, amewashutumu baadhi ya wasaidizi na watu waliopo pembeni mwa Rais kwa kumhujumu kiongozi huyo wa nchi na kuingiza taifa kwenye hatari.
Soma: Heche: Tutawaandikia barua FIFA...
Matumizi ya ukatili wa kingono, udhalilishaji, na ukatili wa kisiasa dhidi ya wakosoaji, wanaharakati, na wanasiasa ni suala zito sana katika misingi ya maadili ya kibinadamu na taifa, utu na haki...
Angalia hapa halafu Toa Maoni yako
Soma Azim Dewji: Siamini serikali inaweza kuwa na sababu ya kumpoteza mtu; anaweza kufungwa au kutafutiwa kesi ili kumuondoa kwenye reli
Mange kitambi amesema kuna mpango wa kugawa Chadema. Mpango huo utahusisha Freeman Mbowe na Viongozi wengine wakubwa wa Chadema.
Pesa za opesheni hiyo itapita kwenye Bank M ambayo itatumika...
Mwandishi:"Na unahisi hawa wanaosema ugaidi, wanasema kuwa bahati mbaya..."
Peter Madeleka:"Wanamhujumu Rais. Wanamhujumu Rais tuliyonaye huyu. Anajitahidi sana lakini kundi la watu waliopo...
TAARIFA KWA UMMA YA NDG. LUHAGA JOELSON MPINA KUHUSU UCHAMBUZI WA RIPOTI YA JUMUIYA YA MADOLA KWENYE KIKAO CHA 73 CHA DHARURA CHA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE NA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA (CMAG)...
Miongoni mwa habari zilizozua gumzo hivi karibuni ni Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutumia Sh611.92 milioni kutunza vyura wa Kihansi huko Marekani, gazeti hili limefan-ya uchambuzi...
..kuliita genge hili " wasiojulikana, " badala ya magaidi, sio kumung'unya maneno ndugu zangu?
..matendo yao ya kuteka, kutesa, kujeruhi, na kuuwa, yana tofauti gani na matendo ya magaidi wa...
Unamteka mtu na kumpoteza. Familia na ukoo mzima wanaumia. Jamii inayomzunguka inaumia na kutengeneza kidonda ambacho hakiponi.
Watu wanajawa na chuki. Wanawaza kulipa kisasi kwa kupoteza...