Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amewahakikishia Watanzania na viongozi wa kitaifa kuwa chama hicho kinasimama kidete nyuma ya Rais wa Jamhuri ya...
8 Reactions
41 Replies
528 Views
Leo TEC imekutana na Rais ikulu ya DODOMA Tunaomba mrejesho,? Naomba KUJUa Faza Kitima kama umemuuliza amili kesho mkuu mlinzi wa Raia na mali zao, walio taka kukuaau VYOMBO vyake vimefikia wapi?
1 Reactions
3 Replies
154 Views
Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!! Britanicca
49 Reactions
159 Replies
6K Views
Na vipi kuhusu michango waliokusudia kuomba kuchangiwa na waTanzania. kuna mwenye updates yoyote kwamba wamefikia wapi mpaka sasa?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
1 Reactions
8 Replies
110 Views
Wanabodi, Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho...
28 Reactions
230 Replies
25K Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili...
26 Reactions
310 Replies
31K Views
  • Redirect
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino mkoani...
1 Reactions
Replies
Views
Mikopo yote tuliyokopa tumeshindwa kweli kumalizia kipande cha SGR mwanza Dar kweli? Tutakuza vipi uchumi kama miradi ya maendeleo inasuasua hivi?
5 Reactions
16 Replies
300 Views
Katiba ya Jamhuri ya Muungano ibara ya 20(1) inasema, “Kila mtu anao uhuru wa kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika, kushirikiana na watu wengine, na kwa ajili hiyo...
3 Reactions
26 Replies
445 Views
Mimi si Mchaga lakini nilibahatika kusoma na kuishi Moshi. Kumekuwa na maoni mengi humu kuwa ni haki pesa ya kodi iendeleze Chato kwakuwa kaskazini kulipendelewa awamu ya kwanza, kuna lami hadi...
72 Reactions
320 Replies
24K Views
Lissu bado anazidi kushikiliwa na kuburutwa mahakamani bila kosa ambalo litaweza kuthibitika.Siku thelathini walizotoa jumuia ya madola zinaisha leo.👇
2 Reactions
8 Replies
185 Views
Idadi ya usajili wa intaneti nchini Tanzania imepata ukuaji mkubwa na kufikia 62,793,986 kufikia mwezi Juni 2026. Ukuaji huo unadhihirisha kasi ya mabadiliko ya kidijitali na kuongezeka kwa...
0 Reactions
2 Replies
39 Views
Sasa hivi huwezi kutuma hela za Tonetone kupitia NMB. Ukituma hela haiendi. Ni mpango wa kukwamisha CHADEMA isifikie lengo la Milioni 334. Je, na Vodacom watagoma kutumia huduma yao?
15 Reactions
68 Replies
1K Views
Zanzibar inatunyonya sana jaribu kufikiria eti wabunge 10 wanawakilisha watu milioni 7 hadi 8 na wazanzibari wapatao 50 wako bunge la Dodoma kuwakilisha wazanzibari wapatao milioni 1. Hapa...
10 Reactions
23 Replies
281 Views
Suala la Serikali kupitia KATAMBI kuzuia Mikutano ya Kisiasa kwa maelezo kwamba Kuna VIASHIRIA VYA UGAIDI. Ilikua ni Lazima Katambi huyohuyo, kuliondoa Zuio Hilo na sio Jeshi la Polisi kujifanya...
3 Reactions
2 Replies
49 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Ndiye Sauti ya Afrika na Mwafrika kwa Sasa .Ndio sauti ambayo ikizungumza inasikika ,kusikilizwa na kuheshimiwa...
0 Reactions
14 Replies
78 Views
Kwa muda sasa nimekuwa nikifanyia kazi toleo hili jipya la Kijitabu cha Mwalimu cha "Uongozi wetu na hatima ya Tanzania". Ni matumaini yangu wale waliopata shida kuelewa toleo la awali lilivyo na...
5 Reactions
98 Replies
33K Views
Ndugu zangu Watanzania, Anachofanya na kukifanya Rais Wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa Sasa ni Zaidi ya Uwajibikaji ,Ni Zaidi ya Kujitolea, ni zaidi ya kutimiza...
2 Reactions
63 Replies
427 Views
Mdau wa maendeleo ametumia zaidi ya shilingi milioni 10 kujenga kipande cha barabara chenye urefu wa takribani mita 70 katika Kata ya Keri, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, kwa lengo la kuondoa...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Inadaiwa huyu askari alimkodi huyo boda boda kwenye video na baada ya kumzungusha kwa saa moja kagoma kumlipa, kwa mujibu wa maelezo ya boda kulitokea ugomvi ambao ulisababisha huyo polisi...
20 Reactions
71 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…