Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amewahakikishia Watanzania na viongozi wa kitaifa kuwa chama hicho kinasimama kidete nyuma ya Rais wa Jamhuri ya...
Leo TEC imekutana na Rais ikulu ya DODOMA
Tunaomba mrejesho,?
Naomba KUJUa Faza Kitima kama umemuuliza amili kesho mkuu mlinzi wa Raia na mali zao, walio taka kukuaau VYOMBO vyake vimefikia wapi?
Na vipi kuhusu michango waliokusudia kuomba kuchangiwa na waTanzania.
kuna mwenye updates yoyote kwamba wamefikia wapi mpaka sasa?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Wanabodi,
Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili...
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Ikulu Chamwino mkoani...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano ibara ya 20(1) inasema, “Kila mtu anao uhuru wa kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika, kushirikiana na watu wengine, na kwa ajili hiyo...
Mimi si Mchaga lakini nilibahatika kusoma na kuishi Moshi. Kumekuwa na maoni mengi humu kuwa ni haki pesa ya kodi iendeleze Chato kwakuwa kaskazini kulipendelewa awamu ya kwanza, kuna lami hadi...
Idadi ya usajili wa intaneti nchini Tanzania imepata ukuaji mkubwa na kufikia 62,793,986 kufikia mwezi Juni 2026. Ukuaji huo unadhihirisha kasi ya mabadiliko ya kidijitali na kuongezeka kwa...
Sasa hivi huwezi kutuma hela za Tonetone kupitia NMB. Ukituma hela haiendi. Ni mpango wa kukwamisha CHADEMA isifikie lengo la Milioni 334. Je, na Vodacom watagoma kutumia huduma yao?
Zanzibar inatunyonya sana jaribu kufikiria eti wabunge 10 wanawakilisha watu milioni 7 hadi 8 na wazanzibari wapatao 50 wako bunge la Dodoma kuwakilisha wazanzibari wapatao milioni 1.
Hapa...
Suala la Serikali kupitia KATAMBI kuzuia Mikutano ya Kisiasa kwa maelezo kwamba Kuna VIASHIRIA VYA UGAIDI.
Ilikua ni Lazima Katambi huyohuyo, kuliondoa Zuio Hilo na sio Jeshi la Polisi kujifanya...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Ndiye Sauti ya Afrika na Mwafrika kwa Sasa .Ndio sauti ambayo ikizungumza inasikika ,kusikilizwa na kuheshimiwa...
Kwa muda sasa nimekuwa nikifanyia kazi toleo hili jipya la Kijitabu cha Mwalimu cha "Uongozi wetu na hatima ya Tanzania". Ni matumaini yangu wale waliopata shida kuelewa toleo la awali lilivyo na...
Ndugu zangu Watanzania,
Anachofanya na kukifanya Rais Wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa Sasa ni Zaidi ya Uwajibikaji ,Ni Zaidi ya Kujitolea, ni zaidi ya kutimiza...
Mdau wa maendeleo ametumia zaidi ya shilingi milioni 10 kujenga kipande cha barabara chenye urefu wa takribani mita 70 katika Kata ya Keri, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, kwa lengo la kuondoa...
Inadaiwa huyu askari alimkodi huyo boda boda kwenye video na baada ya kumzungusha kwa saa moja kagoma kumlipa, kwa mujibu wa maelezo ya boda kulitokea ugomvi ambao ulisababisha huyo polisi...