Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,654
- 14,074
Ndugu zangu Wana Jamiiforums nikiri kuwa mimi ni mshabiki wa siasa za upinzani siyo kosa mimi kukiri nafasi yangu kisiasa, lakini katika yote hayo mashujaa wangu ni Lissu na Heche, watu Hawa wananifanya nihisi kuwa tanganyika iliyochoka ina nafasi kubwa siku zijazo, Mungu awabariki, lengo langu la kuwa na fake id ni kusapoti harakati za chadema, kama Kuna atakayenigundua niko tayari kufa na chadema, naipenda chadema, nampenda heche na lissu, Mungu awabariki, nipo nanyi daima