Wote tunajua kuwa kwa Chadema matusi ni sehemu ya Siasa zake. Lakini jueni kuwa ulimwengu wa sasa umehama kutoka kwenye siasa za matusi kwenda kwenye siasa za hoja.
Hii tabia za kuwatukana...
Gazeti la The Economist la Aprili 30, 2026 limechapisha makala yenye kichwa: "Is Samia Suluhu Hassan Africa's most disappointing president?" — yaani "Je, Samia Suluhu Hassan ndiye rais...
Nenda kwenye ofisi mbalimbali za umma. Watumishi wengi wanaiponda sana serikali hii iliyopo madarakani.
Tofauti na kipindi alipokuwepo hayati JPM maana aliaimamia nidhamu na mabosi kama...
=
Hiki ndicho alichoandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila kwenye Ukura wake wa X, amekumbusha kuwa,
"Kwa kipindi cha miaka 62 mfululizo, Tanzania imekuwa...
Kuna mtu kakataliwa na Mungu aliyemuumba, Mungu anatumia umma kumwadhibu, Farao yule wa Misiri, alifanywa moyo wake kuwa mgumu ili aendelee na ushetani wake ili aje kujionea ukuu wa Mungu kwa...
Mimi ninaitwa Athumani, Ninaandika kueleza kero yangu kubwa na usumbufu ninaoupata kuhusiana na matumizi yasiyo sahihi ya taarifa zangu binafsi, hasa namba yangu ya Kitambulisho cha Taifa (NIDA)...
Mwafrika ni kichwa ngumu maneno haya aliyasema Daniel arap moi wa kenya
Leo kuna watu wanaamini akiingia Nchimbi, Majaliwa, Makonda n.k labda ataleta mabadiliko hawa ni aina ya watu ambao ni...
Japo.bado ana mda lakini matumaini ni kidogo.
Kikwete alituachia
A. Mazuri
1. Daraja la kigamboni
2. Chuo kikuu Dodoma
3. Chuo kikuu Nelson Mandela Arusha
4. Barabara mabasi ya mwendokasi
5.Ajira...
Habari nafuatilia sana platform hii kwakweli kazi kubwa mnaifanya hasa kwa kutoa taarifa bila upendeleo Mwenyezi Mungu aendelee kuwatia nguvu na kuwaongoza vyema.
KERO YANGU KUBWA
Ni kuhusu hizi...
Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Kitaifa Mkoani Njombe, leo tarehe 1 Mei, 2026 amesema kuwa mwaka huu hakutakuwa na maboresho ya...
Rais Samia Suluhu Hassan tangu aingie madarakani mwaka 2021 amechukua hatua kadhaa zinazohusu wafanyakazi, hasa katika sekta ya umma na mazingira ya kazi kwa ujumla. Hapa kuna mambo muhimu...
Tofauti ya Lissu na Samia ni kwamba mmoja wao ni fake!. Magufuli alipata wafuasi wengi kwasababu hakuwa fake pamoja na mapungufu yake. Lissu naye hajawahi kuwa fake.
Mama Samia ndiyo maana...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza Bungeni leo Aprili 30, 2026, ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi wa bao 1 dhidi ya Yanga.
Klabu ya Simba...
Nimetoka kuangalia hii video chini, huko Tanga wana CCM wakiandamana kukatwa kwa Ummy Mwalimu, nimechambua na taarifa zingine za maandamano na malalamiko ya Wanaccm.
Kuna fursa ya kutekeleza...
https://youtu.be/QIqjJSoPFQ4?si=3-ZD6Dz4OrPa60Oq
HOJA ZA UTETEZI WA SERIKALI HARAMU YA CCM ILIYOJIWEKA MADARAKANI KWA MTUTU WA BUNDUKI KUMTWISHA MZIGO MWANANCHI:
##Wanasema, wananchi acheni...
Salaam Wakuu,
Kwa Ufupi Malengo ya BASATA ya kuua Vipaji na sanaa ya Tanzania yamefanikiwa.
BASATA wamefanikiwa kuua Tasnia ya Burudani.
Nimeenda BASATA wafanyakazi wao wamelala wengine...
Hakuna nyongeza, hakuna madaraja hakuna promotions wala increment...
Lipeni stahiki za walimu..
Acheni uhuni na uwizi. Acheni kukaa na hela sio zenu.
Mimi ni muhanga ..familia yangu ina wahanga...
Hamjambo wakuu!
1. Sio mbali wala Siku sip nyingi nchi hii itaongozwa na Upinzani kabla ya 2040.
2. Tuombe uzima. Hapa ninachojaribu kufanya projection hali itakavyokuwa.
3. CCM sasa imegeuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.