Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,406
Reaction score
6,623
Japo.bado ana mda lakini matumaini ni kidogo.

Kikwete alituachia
A. Mazuri
1. Daraja la kigamboni
2. Chuo kikuu Dodoma
3. Chuo kikuu Nelson Mandela Arusha
4. Barabara mabasi ya mwendokasi
5.Ajira lukuki kwa graduates
6. Kushamiri kwa democrasia ya vyama vingi


B. Mabaya
1. Rushwa iliyokithiri
2. Ufisadi wa kutisha
3..kukithiri biashara madawa ya kulevya

Rais Magufuli.
A. Mazuri
1. Kutanua barabara ya kimara kibaha
2. Bwawa la kufua umeme
3. Train za mwendo kasi
4. Masoko na stend inchi nzima
5. Kupambana na rushwa
6. Kuongeza uwajibikaji
7.kupambana na mafisadi
8. Kuhamishia inchi dodoma
9. Kutanua uwanja wa ndege julius k Nyerere

B. mabaya
1. Mwanzo wa vitendo vya utekaji
2. Uminywaji wa democrasia na uhuru wa vyombo vya habari
3. Kupora chaguzi

Samia Suruhu Hasan

A. Mazuri
1. Mpaka sasa hakuna labda tumpe muda.

Mabaya
1. Rushwa kuongezek
2. Ufisadi uliokithiri
3. Kukithiri kwa vitendo vya utekaji vinavyofanywa na watu wanaohisiwa kufadiriwa na vyombo vya dora
4. Kupora uchaguzi
5. Mauwaji ya halaiki ya watanganyika tarehe 29/10/2025

Je, kuna kumbukumbu yoyote nzuri huyu Rais mwanamama atakuja kutuachia amalizapo mda wake?
..
 
Kumbukumbu atakayotuachia ni mauaji ya soka,mzee kibao polepole na wengine zaidi ya miambili kama ilivyoeleza chama cha wanasheria TANGANYIKA.
 
Japo.bado ana mda lakini matumaini ni kidogo.

Kikwete alituachia
A. Mazuri
1. Daraja la kigamboni
2. Chuo kikuu Dodoma
3. Chuo kikuu Nelson Mandela Arusha
4. Barabara mabasi ya mwendokasi
5.Ajira lukuki kwa graduates
6. Kushamiri kwa democrasia ya vyama vingi


B. Mabaya
1. Rushwa iliyokithiri
2. Ufisadi wa kutisha
3..kukithiri biashara madawa ya kulevya

Rais Magufuli.
A. Mazuri
1. Kutanua barabara ya kimara kibaha
2. Bwawa la kufua umeme
3. Train za mwendo kasi
4. Masoko na stend inchi nzima
5. Kupambana na rushwa
6. Kuongeza uwajibikaji
7.kupambana na mafisadi
8. Kuhamishia inchi dodoma
9. Kutanua uwanja wa ndege julius k Nyerere

B. mabaya
1. Mwanzo wa vitendo vya utekaji
2. Uminywaji wa democrasia na uhuru wa vyombo vya habari
3. Kupora chaguzi

Samia Suruhu Hasan

A. Mazuri
1. Mpaka sasa hakuna labda tumpe mda.

Mabaya
1. Rushwa kuongezeka marquee
2. Ufisadi uliokithiri
3. Kukithiri kwa vitendo vya utekaji vinavyo fanywa na watu wanaohisiwa kufadiriwa na vyombo vya dora
4. Kupora uchaguzi
5. Mauwaji ya halaiki ya watanganyika tarehe 29/10/2025

Je kuna kumbukumbu yoyote nzuri huyu Rais mwanamama atakuja kutuachia amalizapo mda wake?
..
Akili za kipumbavu sana hizi. Miradi yote ni ya nchi na kila mtu anahusika kwa kulipa kodi. Hakuna miradi ya mtu binafsi ndo maana Mama Samia alihakikisha miradi yote aliyoikuta inamalizika. CHADEMA mnapenda kukabidhi akili zenu kwa mtu. Zamani mlikuwa mnaimba MWAMBA TUVUSHE leo hii mnamtukana MWAMBA. Kwa sasa akili mmemkabidhi Mange Kimambi na Maria Sarungi.
 
Utawala wa ⏰100 watanganyika tumebakwa🥺
 
Japo.bado ana mda lakini matumaini ni kidogo.

Kikwete alituachia
A. Mazuri
1. Daraja la kigamboni
2. Chuo kikuu Dodoma
3. Chuo kikuu Nelson Mandela Arusha
4. Barabara mabasi ya mwendokasi
5.Ajira lukuki kwa graduates
6. Kushamiri kwa democrasia ya vyama vingi


B. Mabaya
1. Rushwa iliyokithiri
2. Ufisadi wa kutisha
3..kukithiri biashara madawa ya kulevya

Rais Magufuli.
A. Mazuri
1. Kutanua barabara ya kimara kibaha
2. Bwawa la kufua umeme
3. Train za mwendo kasi
4. Masoko na stend inchi nzima
5. Kupambana na rushwa
6. Kuongeza uwajibikaji
7.kupambana na mafisadi
8. Kuhamishia inchi dodoma
9. Kutanua uwanja wa ndege julius k Nyerere

B. mabaya
1. Mwanzo wa vitendo vya utekaji
2. Uminywaji wa democrasia na uhuru wa vyombo vya habari
3. Kupora chaguzi

Samia Suruhu Hasan

A. Mazuri
1. Mpaka sasa hakuna labda tumpe muda.

Mabaya
1. Rushwa kuongezek
2. Ufisadi uliokithiri
3. Kukithiri kwa vitendo vya utekaji vinavyofanywa na watu wanaohisiwa kufadiriwa na vyombo vya dora
4. Kupora uchaguzi
5. Mauwaji ya halaiki ya watanganyika tarehe 29/10/2025

Je, kuna kumbukumbu yoyote nzuri huyu Rais mwanamama atakuja kutuachia amalizapo mda wake?
..
Umeamua kuchagua upande?, mana mahovu ya Magufuli kayamaliza Samia, au utaki kuyaona hali ya kuwa macho unayo!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom