Akihutubia wafanyakazi waliojitokeza kwenye kilele cha sherehe za Siku ya wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026) Rais Samia amesema mwaka huu TUCTA hawakwenda na madai ya mshahara mpya na viongozi...
Leo nilikutana na clip moja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Chalamila.
Katika clip hiyo Chalamila anasema moja ya sababu inayosababisha foleni zisiishe ni uwepo wa magari yenye namba A, na...
No reforms, no election ni mfupa mgumu sana kwa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa kitaifa October 2025.
Kama serikali ya CCM italazimisha kufanya uchaguzi pasipo ushiriki wa chama kikuu cha upinzani...
Ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania, Rwanda na Kenya ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa kikanda na kufungua milango ya fursa kwa wananchi wake. Nchi hizi tatu zimeendelea...
Didier Drogba apelekewe moto hadi ajue hatutaki usenge wa kusafisha wauwaji by Think Different
Anakuja kuhalalisha mauaji ya watanganyika. Makonda anadhani kwa vile watanganyika ni malofa wa...
Na África J&L, Dar es Salaam
Wakati Rais William Ruto atakapohutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, akiwa kiongozi wa kwanza wa Kenya kufanya hivyo, wengi wataona tukio la kihistoria. Lakini...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema;
"Katiba mpya ni ajenda yetu na...
Niwe mkweli nipo na mama yenu namwamsha taratibuuuu!
Just imagine, kisa madaraka Tundu Lissu muda huu amekumbatia Kuta za gerezani kwa kosa la uhaini ili Hali sio muhaini.
Wewe wakili wa...
Akiongea kwenye Mkutano wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Kabla na baada ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Jaji Juma amesema kuwa kuna watu hawataki maoni ya watu wengine yasikike, baada ya kutoa...
NILIWAHI KUSEMA MAREKANI IKIPIGA CHAFYA DUNIA INAUGUA MAFUA
Pole Paul Makonda!
Kwa uamzi huu wa kumfungia Paul Makonda kuingia Marekani sasa ni rasmi hawezi kuwa rais wa Tanzania, waziri mkuu...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema Makamu Mwenyekiti wa Chama cha...
Wakuu,
Tarehe 02/05/2026 saa tatu asubuhi eneo la Mburahati Kinondoni alikamatwa Dammour Massoumbe Nyakairo, na kupelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, amesema;
"Tume imeshindwa kabisa kusema chochote juu ya nani aliwaua...
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Bara), Isihaka Mchinjita, amesema msimamo wa Kamati Kuu ya chama hicho kuendelea kuikataa rasmi Ripoti ya Tume ya Jaji Chande, akidai kuwa imeundwa...
Makamu Mwenyekiti wa ACT wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, ameeleza kuwa tume ya kuchunguza matukio ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.