05 May 2026
Dodoma, Tanzania
LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026
RUTO - MAADUI WETU SI WATANZANIA AU WAKENYA MAADUI WETU NI UKOSEFU WA AJIRA...
Ndio kama mlivyosoma kwamba hisa za Serikali ni asilimia 17% tuu.
https://www.instagram.com/p/DX1ya8oCn_S/?igsh=MWlja2xja2QxMHd2aw==
My Take
Kama hatuna pesa za kuingia kwenye ubia hakuna haja ya...
Tume ya maridhiano iliyokuwa ya kutolea mfano ni ile ya Afrika ya kusini. Matatizo ya Afrika Kusini yalitokana na siasa za ubaguzi wa rangi. Baada ya siasa hizo kutoweka, Ndo ikaundwa Tume ya...
Waziri umeshirikiana na UD kutatua 'mgogoro' wa kijana aliyeshindwa kuendelea na masomo kwa faini ya kizembe. Au tuseme uonevu wa UD kwa wanafunzi. Hiyo ni ishara kwamba Vyuo vikuu vyetu...
"Kuna kijana hadi sasa hamfahamu Waziri mkuu wa Nchi, Makamu wa Rais ila anafahamu wimbo gani uliotoka hivi karibuni, matokeo ya michezo mbalimbali kwasababu ndiyo kipaombele chake" - Nathaniel...
Tume ya Uchunguzi iligundua kuwa ghasia za Oktoba 29, 2025 hazikuwa za ghafla bali zilikuwa na mpango mkubwa wa kuratibiwa. Ushahidi ulionyesha zaidi ya mbinu 16 zilitumika katika maeneo 202...
Nina hasira sana baada ya watoto wangu wawili kuuawa na miili yao kupotezwa, licha ya kwamba tuliiona Mwananyamala, ila tukanyimwa kupatiwa.
Nahangaika na kujitibu hisia. Nimeamua nitue mizigo...
Wabunge wa (covid 19) walisababisha hasara ya shilingi bilioni 16+🙄
Hawa covid 19 walifukuzwa uanachama na chadema , CCM kwa masilahi yao wakalazimisha wakae bungeni kwa miaka mitano kinyume na...
Andiko la: Wakili William Maduhu
1.1UTANGULIZI
Tarehe 2 Mei 2026 vyombo vya habari na watanzania kupitia taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ikulu tulijulishwa kuwa Mhe Rais wa Jamhuri ya...
Jesh la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam, limeopoa miili miwili iliyokua inaelea kwenye Maji katika eneo la Stakishari Ukonga na daraja la Sarenda na kuikabidhi kwenye...
Waziri wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema kuwa madai ya kubadilishwa kwa mfumo wa Uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu wa...
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la kima cha chini cha mshahara kutoka TZS 300,000 hadi TZS 500,000 kwa mwezi.
Dkt. Mwinyi amesema kiwango hicho kipya cha mshahara...
Hivi hizi pesa ambazo Bunge linajadili ni matumizi yasiyo ya lazima wakati kuna Wabunge watoro Bungeni, bungeni hawaonekani, jimboni hawaonekani lakini mishahara wanalipwa.
Mfano mbunge wa Jimbo...
Tume ya Chande imeeleza kuwa viashiria vya maandamano vilianza miezi 6 before - kauli hii imehoji uwezo wa TISS, are they really capable na espionnage kubaini na kuchukua neccesary Measure ! -Hii...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuamini katika nguvu ya mazungumzo kama njia pekee ya kuleta mageuzi ya kweli na maendeleo...
Leo tunapoandhimisha siku ya uhuru wa habari, naomba chukua fursa hii kutafakari, kwa kuwakumbuka, mashujaa wa tasnia hii ya habari, waliopo na waliotangulia mbele ya haki!.
Je, unamkumbuka nani...
Wanabodi,
Tangu baada ya Uingereza kupiga kura kujitoa kwenye EU, wanabodi wetu humu ambao ni Wanzanzibari, wanashadadia sana uamuzi huo, na kushinikiza wananchi wa Zanzibar nao, wapewe fursa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.