PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Chande alikuwa wazi kabisa.

Alishasema kuwa ripoti hii ni Fact finding ,

Kama kuna jinai kuna mamlaka ya kudeal nazo.
 
Hasa mioyo ya watu wenye akili timamu, na walioguswa na vifo vile, watu walikuwa wanapigwa risasi wako kwenye shughuli zao za kawaida hata madukani, majumbani wakikuta mageti wazi wanaingia wanaua wa kuua na kutoka afu fazafaki anakuja na upuuzi ule usiokuwa hata na aibu zile za kibinadamu
 
Ila ukweli japo tunaweza tusifahamu kiusahihi kanuni za usalama dhidi ua uhalifu lakini mtu ama mhalifu akisha geuza mgongo na kukimbia maana yake si hatari tena kwako wewe afisa wa usalama hivyo busara ni kumpiga mguu ili kumdhibiti lakini kufumua kichwa !


Inafikirisha sana
 
Ila ukweli japo tunaweza tusifahamu kiusahihi kanuni za usalama dhidi ua uhalifu lakini mtu ama mhalifu akisha geuza mgongo na kukimbia maana yake si hatari tena kwako wewe afisa wa usalama hivyo busara ni kumpiga mguu ili kumdhibiti lakini kufumua kichwa !


Inafikirisha sana
Waandamanaji wengi walipigwa risasi za mgongo. Hilo Chande hasemi.
 
Back
Top Bottom