Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
44,934
Reaction score
36,847
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?

Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?

There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?

Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?

There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Bado hujasema...
 
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?

Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?

There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Maishani ogopa sana mtu kukubali kuitwa CHAWA
 
Maishani ogopa sana mtu kukubali kuitwa CHAWA
hivi gentleman,
tuwe wakweli tu,
hivi milioni mia3 kwa watu million 7 si inakusanywa kwa chini ya dk 5 tu?

sasa utajiri wa mihemko na makasiriko kama hayo yako yanawasaidia nini chadema kupata milioni mia3 kwa mfano? 🤣
 
hivi gentleman,
tuwe wakweli tu,
hivi milioni mia3 kwa watu million 7 si inakusanywa kwa chini ya dk 5 tu?

sasa utajiri wa mihemko na makasiriko kama hayo yako yanawasaidia nini chadema kupata milioni mia3 kwa mfano? 🤣
uzuri ni kuwa CDM siyo majizi kama maccm
 
uzuri ni kuwa CDM siyo majizi kama maccm
kwamba uzuri wa chadema ni ufisadi unaoendelea ndani yake right? Na hicho ndicho kinawasaidia na kuwapa nguvu mgome kuchangia milioni mia3, right?🐒
 
naona umekazana kujiexpose ulivyo empty head kwa mihemko useless jukwaani, right?🐒
Mimi sio mwizi na wala sili rushwa. Niko clean. Endelea kula rushwa, kudanganya wananchi maana ndio akili zenu zilipoishia. Labda mtafanikiwa !!
 
kwamba uzuri wa chadema ni ufisadi unaoendelea ndani yake right? Na hicho ndicho kinawasaidia na kuwapa nguvu mgome kuchangia milioni mia3, right?🐒
kulingana na ripoti ya CAG viongozi wa taasisi za serikale ndiyo wanaongoza kufisadi rasilimali nyingi za nchi hii
 
kulingana na ripoti ya CAG viongozi wa taasisi za serikale ndiyo wanaongoza kufisadi rasilimali nyingi za nchi hii
gentleman,
ni muhimu kueleza kulikoni milioni mia3 tu zinaitoa jasho chadema?
Kuna mgomo au ni ufisadi wa heche?

huna haja ya porojo zaidi kinyume na hoja mahususi mezani na itapendeza zaidi 🐒
 
Mimi sio mwizi na wala sili rushwa. Niko clean. Endelea kula rushwa, kudanganya wananchi maana ndio akili zenu zilipoishia. Labda mtafanikiwa !!
Gentleman,
kwanini sana una goma kuchangia milioni mia3 kwaajili ya chadema kama sio mchoyo, mbinafsi na fisadi sawa heche tu?🐒
 
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?

Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi sana kutukana na kuporomosha matusi wakitetea chama hicho?

There must be something wrong somewhere within chadema circle. What do you think is in between?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20260714-183814~2.png
 
Back
Top Bottom