Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha mafunzo ya utawala bora barani Afrika baada ya kupokea ujumbe wa wataalamu 25 kutoka Somalia kwa ajili ya mafunzo maalumu ya uendeshaji...
Mijadala ya Act wengi walikiri uchaguzi haikuwa huru na haki
Hadi Walifikia hatua ya kusema tume ilipodadilisha JINA ilipoteza uhalali kikatiba
Sasa wanapoteua mawaziri vivuli Ili wasimamie...
Daktari Samia Suluhu Hassani ameondoka nchini kwenda kujadili na Viongozi wenzake wa Afrika mashariki kuhusu uvumbuzi wa Nishati ya Nyukilia.
Video Courtesy: State House instagram Account
Mkutano wa Pili wa Bunge la 13 unaendelea leo Januari 28, 2026 bungeni jijini Dodoma.
Miongoni mwa shughuli za leo ni Waziri Mkuu kuwasilisha Taarifa ya Matoleo ya Gazeti la Serikali pamoja na...
Ningelifungua page hapa JF nikasikiliza maoni ya watu. Katika anonymity ya JF, kuna watu wa CCM wenye nia njema ( ingawa ni debatable kama CCM kuna mwenye nia njema in exclusion of Judge Sinde...
Baada ya lile jinamizi la Oktoba 29, watu wangi walioto ndoto za kutisha
Kuna waliowaona polisi kadhaa wakifungwa magereza kwa makosa yasiyo ya kwao,
Kuna waliolia kilio na kuomboleza ndotoni...
Wakili Maduhu anasema amekagua hati za mashitaka nchi nzima za watu walioshitakiwa kwa kuhusika na uhaini wa Oktoba 29 lakini hakuna hata raia kigeni aliyeshitakiwa.
Wewe kama Waziri mkuu baada...
Tundu Lissu aripoti kupata maumivu makali ya tumbo 'toka kuzaliwa' baada ya kupewa vipande vya matunda.
Akiutaarifu umma, makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameeleza kuwa Lissu amekuwa...
Kwa mwendo huu, unaingia kwenye black book ya WAOVU WA TAIFA HILI.
Your credibility earned for decades inaangamia kwa vipande vya fedha na Wa Dini yangu ( may be).
Take home msg from the mass of...
Rais wa Awamu ya kwanza , Mwalimu Nyerere aliwaweka watu waliobpbea kiuchumi kuwa washauri wake.
Mwalimu aliweza kubishana na IMF kwa kipindi kirefu kutokana na misimamo inayotokana na ushauri wa...
Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti, ubakaji, wizi, dawa za...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026
Mwandishi: "Kwenye hili swala la...