Baada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya...
Juzi wakati Rais anapokea Report ya CAG, alitamka mambo mengi kwa hasira na jazba sana hadi wengine wanaona hakuwa sahihi.
Kwa cheo alicho nacho na maana ya report ya CAG hakutakiwa kutoa hukumu...
Mubashara:
Mhe. Dkt. Philip Isdori Mpango ameapishwa kuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na Jaji mkuu wa Tanzania mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma katika lkulu, Chamwino...
Bunge la 12 Mkutano wa 11, Kikao cha Saba, Ijumaa Aprili 14, 2023
SERIKALI YASEMA TANZANIA INA DIASPORA MILIONI 1.5
Takwimu hizo za Diaspora ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi za Kibalozi za...
Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro Katika kutekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi, Machi 27-29, 2023 alipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo alichangia kiasi...
Habari wadau wa siasa.
Mnamkumbuka mkulima wa kigoma aliyewania urais ndani ya CCM 2015? Nakumbuka pia alipungukiwa hela za kuchukua Fomu na alipambana hadi kesho yake akazipata na kuchukua fomu...
Kodi inalipwa kwa ajili ya maendeleo ya taifa lolote husika na kuhudumia raia wake. Kanuni hii ya kulipa kodi ilikuwepo ulimwenguni miaka mingi hata kabla ya Yesu.
Kwa Tanzania katika miaka mingi...
Wakuu , Natanguliza salamu , baada ya salamu hii najikita moja kwa moja kwenye hoja .
Kwa Mujibu wa Ratiba iliyotangazwa na Chadema Kanda ya Nyasa, leo tarehe 28/2/2023 ndio siku ya kuhitimisha...
Rais Mstaafu wa Msumbiji Mhe. Joaquim Alberto Chissano ameipongeza Tanzania kwa kuendelea kutunza na kuhifadhi kumbukumbu muhimu za historia ya harakati za Ukombozi wa nchi mbalimbali za Bara la...
Ni jambo la kushangaza sana, kuna taarifa ya CAG inayoonesha wizi na ubadhirifu wa matrilioni ya pesa, lakini spika anasema eti report itajadiliwa mwezi Novemba, sahizi waendelee kujadili masuala...
ZIARA YA MHE. KENNETH NOLLO KIJIJI CHA ISANGHA KATA YA CHIBELELA
Mbunge Jimbo la Bahi, Dodoma Mhe. Kenneth Nollo Jana tarehe 13 April 2023 amefanya Mkutano wa hadhara Kijiji cha Isangha Kata ya...
MHE. NORAH WAZIRI MZERU - AMEIULIZA SERIKALI MASWALI UWEKEZAJI, VIWANDA NA BIASHARA, BUNGENI-DODOMA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro Mhe. Norah Waziri Mzeru amemuuliza swali Waziri wa...
Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Afrika Kusini, Julius Malema, ameongoza maandano akiwa amevaa bendera inayotumiwa na jamii ya wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja akiongoza...
Huo ndio ukweli, ndani ya miaka 60 hatujawahi kutoka nje ya fikra za Mwalimu Nyerere kiuhalisia.
Wale waliokuwa wanaimba "Zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM," ndio hao watoto wao wanatuongoza leo...
Kipanya umetisha sana
Ni ukweli ulio wazi mafisadi na baadhi ya Viongozi wetu wanamchukia sana CAG baada ya kuwaumbua katika ripoti yake
CAG aongezewe ulinzi
Pia soma > Nani anayekagua na...
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia...
Kesho Chadema wanaanza Mikutano yao Kusini mwa Tanzania kwenye Ngome ya CUF na ACT Wazalendo.
Chadema wanaingia kwenye Mikutano wakiwa na Hati Safi kutoka kwa CAG tofauti na wenye Ngome yao ACT...
Hisia zangu kwa sasa ni kwamba!
Tumekuwa nchi yenye viongozi wanaotamani waishi kama maisha ya kama wako peponi na kuwadharau kabisa wanaowafanya wafikie hatua ya kuishi hivyo, watu has ni...
Kituo cha Uwekezaji kimesema kimesajili miradi 93 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1.2 sawa na Sh trilioni 2.814 za Tanzania katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka huu wa fedha...
Wajinga wacha tukamuliwe kuendesha offisi mbili ndani ya nchi 1. na wana furahia sana hali hio kwa sababu hawatoi pesa mifukoni mwao kuendesha offisi mbili.
Ukweli ni kwamba gharama za kuendsha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.