chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,683
Ni vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema maandamano yake yakaishie Mwembeyanga au Ofisi za ACT Wazalendo, wakapokewe na Kiongozi wao mkuu. Hata Manzese, watasababisha usumbufu tu usio wa lazima
Jukumu la Jeshi la Polisi ni kuangalia pia muandamanaji anataka kupita wapi, na huko anakopita je, hatahatarisha Uhuru wa watu wengine. Polisi wanaweza kumsaidia Nondo kwa sababu bado ni mtoto mdogo, sijui kama ana miaka hata 15, ila tu jina lake ndio limfanye ajione ni nondo.
Juzi tumeona Kenya wenye katiba mpya pia walizuiwa kuingia katikati ya mji na kwenye makazi ya Rais
Jukumu la Jeshi la Polisi ni kuangalia pia muandamanaji anataka kupita wapi, na huko anakopita je, hatahatarisha Uhuru wa watu wengine. Polisi wanaweza kumsaidia Nondo kwa sababu bado ni mtoto mdogo, sijui kama ana miaka hata 15, ila tu jina lake ndio limfanye ajione ni nondo.
Juzi tumeona Kenya wenye katiba mpya pia walizuiwa kuingia katikati ya mji na kwenye makazi ya Rais