Tanzania sasa ina uchumi mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya

Nyabukika

JF-Expert Member
Jun 15, 2022
1,402
942
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini

Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.

Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028

Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
 
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini

Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.

Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028

Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
Usiongee ukubwa wa uchumi, ukubwa wa uchumi unaweza kutokana na ukubwa wa nchi na wingi wa watu tu.

Kwa mfano, ukilinganisha nchi kama Tanzania yenye watu milioni 64 na nchi kama Croatia yenye watu milioni 4, ni rahisi nchi yenye watu milioni 64 kuwa na uchumi mkubwa, lakini, je, ukiuchukua huo uchumi mkubwa na kuugawanya kwa watu milioni 64 utapata wastani mkubwa kuliko ukiuchukua uchumi mdogo wa nchi ya Croatia ukaugawanya kwa watu milioni 4?

Mtu wa Croatia kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 17,685 kwa hesabu za mwaka 2021.

Mtu wa Tanzania kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 1,099 kwa hesabu za mwaka 2021.

Hapo sasa hata Tanzania ikiizidi Croatia kwa size ya uchumi, utasema imeizidi Croatia kiuchumi?

Ongelea GDP per capita, hapo ndipo utaona wastani wa mchango wa kila mtu katika uchumi.

Ukiongelea GDP per capita ndiyo utaona ufanisi wa uchumi.
 
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini

Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.

Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028

Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
Sawa,uchumi upo juu kuliko maathalani Croatia,ila ubora wa maisha upo je!?
 
Usiongee ukubwa wa uchumi, ukubwa wa uchumi unaweza kutokana na ukubwa wa nchi na wingi wa watu tu.

Kwa mfano, ukilinganisha nchi kama Tanzania yenye watu milioni 64 na nchi kama Croatia yenye watu milioni 4, ni rahisi nchi yenye watu milioni 64 kuwa na uchumi mkubwa, lakini, je, ukiuchukua huo uchumi mkubwa na kuugawanya kwa watu milioni 64 utapata wastani mkubwa kuliko ukiuchukua uchumi mdogo wa nchi ya Croatia ukaugawanya kwa watu milioni 4?

Mtu wa Croatia kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 17,685 kwa hesabu za mwaka 2021.

Mtu wa Tanzania kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 1,099 kwa hesabu za mwaka 2021.

Hapo sasa hata Tanzania ikiizidi Croatia kwa size ya uchumi, utasema imeizidi Croatia kiuchumi?

Ongelea GDP per capita, hapo ndipo utaona wastani wa mchango wa kila mtu katika uchumi.

Ukiongelea GDP per capita ndiyo utaona ufanisi wa uchumi.
Seconded
 
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini

Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.

Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028

Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
chanzo cha taarifa yako ni kipi na hizo nchi za ulaya ni zipi?
 
TAKWIMU mpya za IMF zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni 85.42 (Tsh trilioni 200) kwa mwaka huu wa 2023 ikiwa ni ishara kuwa sera za uchumi za Rais Samia Suluhu zinaleta mageuzi makubwa nchini

Kwa ukuaji huu ni dhahiri kuwa uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya kama Croatia, Lithuniam Serbia na Slovenia, hatua ambayo imerejesha imani ya wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini.

Sasa Tanzania inashika nafasi ya 6 kati ya nchi 10 za kusini mwa jangwa la Sahara zenye uchumi mkubwa zaidi Lakini pia kwa mujibu wa IMF uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kufikia Trilioni 318 ifikapo mwaka 2028

Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030 Tanzania tutaongoza kwa uchumi mkubwa afrika nzima
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana
 
Usiongee ukubwa wa uchumi, ukubwa wa uchumi unaweza kutokana na ukubwa wa nchi na wingi wa watu tu.

Kwa mfano, ukilinganisha nchi kama Tanzania yenye watu milioni 64 na nchi kama Croatia yenye watu milioni 4, ni rahisi nchi yenye watu milioni 64 kuwa na uchumi mkubwa, lakini, je, ukiuchukua huo uchumi mkubwa na kuugawanya kwa watu milioni 64 utapata wastani mkubwa kuliko ukiuchukua uchumi mdogo wa nchi ya Croatia ukaugawanya kwa watu milioni 4?

Mtu wa Croatia kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 17,685 kwa hesabu za mwaka 2021.

Mtu wa Tanzania kwa wastani alijenga uchumi kwa US $ 1,099 kwa hesabu za mwaka 2021.

Hapo sasa hata Tanzania ikiizidi Croatia kwa size ya uchumi, utasema imeizidi Croatia kiuchumi?

Ongelea GDP per capita, hapo ndipo utaona wastani wa mchango wa kila mtu katika uchumi.

Ukiongelea GDP per capita ndiyo utaona ufanisi wa uchumi.
Safi sana, ufafanuzi ulioshiba.
Ila sidhani kama mleta mada atakuwa amekuelewa kwa kuwa lengo lake lilikuwa kupiga debe👇
Sasa imagine tukifika na Rais Samia Suluhu hadi 2030...
 
Back
Top Bottom