Palizuka mabishano ya kisomi bungeni Kati ya Spika Dr Tulia na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu Nchemba kuhusu takwimu sahihi za Kitaifa na Kijimbo
Dr Mwigullu amesema Mtandao wa Maji nchini umefikia...
Vikao vilivyoisha vya Bunge vimekuwa na sura inayeta matumaimi huku Mawaziri Wengi wakionekana ni Zilipendwa wasio na ubunifu
Tunakumbuka Bunge la Mzee Sitta kwa sababu liliiwajibisha Serikali na...
Hili siyo wazo au ombi jipya kabisa.
Kabla ya Magufuli hajaingia madarakani 2015 tayari kulikuwa na mpango huo wa kujenga uwanja wa ndege pale OMUKAJUNGUTI.
Lkn baada ya kuingia Magufuli...
Wakati mimi ninakua niliogopa sana watu walio itwa maprofesa aise ila uongozi wa awamu tano ulipomteua mtu aliyejiita profesa alietoka majalalani, Mimi nilijiona wa tofauti sana yaani profess...
Hizo ndio takwimu zinavyoonesha. Nchi iliporomoka vibaya sana katika miaka hiyo kumi alipokuwa anaongoza rais mstaafu Mwinyi.
Alishindwa kufanya makubaliano mazuri ya kiuzalendo na IMF na WB ili...
Rais ndiye anatafuta pesa zote za miradi na kujenga uchumi wetu.
Hivyo ni yeye ndiye anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi na level ya uchumi wa taifa letu.
Tuwe makini kumsikiliza...
Hivi ni kweli Watanzania wanahitaji KATIBA MPYA kwa sasa?
1) Wasomi na wote wasio na maslahi binafsi na katiba. Hawa watasema ndio kwa kuangazia mambo kadha wadha ambayo yanaonekana ni chechefu...
Serikali imeanza kusambaza mahindi ya msaada kwenye maeneo yenye njaa kwa bei ya unafuu! wakati huo huo malori yaliyobeba shehena ya mahindi kutoka Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma yanavuka mipaka...
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?
Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia...
Spika wa Bunge la JMT Dr Tulia amewataka Mawaziri kusikiliza kwa makini hotuba za Rais wa JMT mh Samia ili wasiwe wanatofautiana
Dr Tulia aliyasema hayo baada ya Naibu waziri wa Nishati ndugu...
Kwako waziri tunaomba ile ratiba ya mgao ifike maana kumekuwa na ubaguzi mkubwa wa wananchi kupata maji kuna maeneo maji hayajapatikana mwezi sasa.
Hili pia limeshindikana kusimamiwa. Huku ndii...
Jana niliona clip kuna mtu anaitwa sijui Steve Nyerere kwamba ni msemaji wa nini sijui ila kikubwa alikuwa anazungumzia Tozo, ukimsikiliza unaona kichefuchefu na anawakilisha akili za millions of...
Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!.
Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje na kwa mantiki hiyo, DOLA, hautokaa...
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini?
Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani...
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza...
Ni kawaida watu kuwa na mawazo yao juu ya serikali zao na kulinganisha mataifa yao kimaendeleo, kiutawala na kimahitaji na wengine uenda mbali kaona wao wanaweza kuifkisha mbali nchi zaidi kuliko...
Habari za Leo wapendwa
Binafsi nina familia na ninaona namna familia yangu jinsi inavyopitia kipindi kigum kutokana na hii changamoto ya Maji.
Mimi nilikuwa nashauri Media zote nchini waandae...
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha...
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu (DPC), Zuhura Yunus akizungumza na Vyombo vya Habari Ikulu jijini Dares Salaam leo Tarehe 12 Novemba, 2022
ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI CHINA
POLE ZA...