Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hili siyo wazo au ombi jipya kabisa.
Kabla ya Magufuli hajaingia madarakani 2015 tayari kulikuwa na mpango huo wa kujenga uwanja wa ndege pale OMUKAJUNGUTI.
Lkn baada ya kuingia Magufuli hatukujua nini kilitokea hadi wazo la omukajunguti likayeyuka na tuastukizwa na Chato Airport.
Kabla ya Magufuli hajaingia madarakani 2015 tayari kulikuwa na mpango huo wa kujenga uwanja wa ndege pale OMUKAJUNGUTI.
Lkn baada ya kuingia Magufuli hatukujua nini kilitokea hadi wazo la omukajunguti likayeyuka na tuastukizwa na Chato Airport.