Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema taarifa iliyotolewa na Meya wa Kinondoni mh Songoro kwamba Wizara inashughulikia Migogoro wa Slipway Ltd siyo ya kweli Dr Mabula amesema Sera ya kuboresha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
MHE. NDAISABA RUHORO ATEMBELEWA BUNGENI NA KAMATI YA SIASA WILAYA YA NGARA Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro wiki hii aliialika Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Ngara chini ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Jambo Jambo? Mtautesa umma wa Watanzania, Mafisadi yatendelea kuiba, mtawafutia Bima za afya za bei rahisi. Mtaweka tozo kila sehemu na hela za tozo zitaibwa na mafisadi na walamba asali. Ripoti...
1 Reactions
4 Replies
541 Views
Wakati Kikosi cha Usalama Barabarani kikiendelea na misako mbalimbali inayosaidia kupunguza ajali za barabarani, mkuu wa kikosi hicho Mkoani Iringa , Mosi Ndozero ameikamata haice iliyyokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Ni wajibu wa vyama vinavyojitanabaisha kuwa vya ukombozi kuwahamasisha na kuwaongoza watu kudai haki zao. Mtaji wa vyama hivyo ni watu. Ni jukumu kipaumbele la vyama vinavyojitambua kuwa mkao wa...
1 Reactions
11 Replies
631 Views
Geita. Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigella amezitaka halmashauri za mkoa huo zinazopokea fedha za uwajibikaji wa kampuni kwa jamii (CSR) kuhakikisha miradi inayotekelezwa inaleta matokeo...
1 Reactions
3 Replies
589 Views
Sungusia hana Uwezo wa kuongoza nyakati Ngumu! Huyakimbia matatizo! Historia ya Wakili Harold Sungusia inamuweka upande wa watu ambao hawana uwezo wa kukabiliana na changamoto ngumu pindi...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa nchi 14 Wanachama wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika, Kanda ya Nne wa Mawaziri na Wakurugenzi wa Michezo utakaofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 2...
2 Reactions
4 Replies
571 Views
Tukio la tapeli wa kiroho Bwana Paul Mackenzie kuratibu mauaji ya watu zaidi ya 76 kwasasa, ambapo kwamjibu wa makadirio wa Idara ya upelelezi na maafa ya Kenya inasema wanaweza kufika 150 baadae...
59 Reactions
253 Replies
17K Views
DHAHABU NI NZITO KULIKO DAMU? Kuna msemo wa Kiswahili unaosema “damu mzito kuliko maji”. Kwa ufahamu wangu, hakuna binadamu anayeweza kuishi bila kuwa na damu. Hivyo damu ni uhai. Lakini umuhimu...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Salaam, Hatimaye ile ndoto ya siku nyingi ya Uwanja wa ndege sumbawanga uliokuwa hautumiki imetimia. Leo Serikali inayoongozwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kipindi cha sakata la Membe,Makamba na Mzee Kinana kuhojiwa na kamati kuu Mh Membe pekee ndiye aliyegoma kuomba radhi kwa chama na viongozi kwa madai kuwa hakuna kosa alilofanya na alisema yuko...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa yale yanayotokea Sudan kwa sasa nimeamua kumpa Freeman Mbowe baraka zote abaki kwenye Maridhiano vinginevyo watakaoumia ni Watu wa kawaida na Wanyonge Maridhiano ndio mpango mzima...
0 Reactions
8 Replies
477 Views
Umoja wa Mataifa, UN unaripoti kwamba Tanzania kuwa namba 3 Kwa Kasi ya kukua Kwa uchumi Africa ikitanguliwa na Ivory Coast na Rwanda. Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua Kwa wastani wa Asilimia...
9 Reactions
26 Replies
3K Views
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA MADINI-ACT WAZALENDO NDG. EDGAR FRANCIS MKOSAMALI KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA WIZARA YA MADINI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24. Utangulizi. Katika mwendelezo wa kufuatilia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawashauri tu ndugu zangu Viongozi dunia imebadilika sana Yesu kabla ya kusulubiwa Mafarisayo na Wanasheria walikuwa wanamtega kwa MANENO ili wapate kumnasa kwa Maneno yake mwenyewe Sabato Njema!
3 Reactions
5 Replies
639 Views
I think I am able to decipher what the problem is. Huyu Musiba nadhani dark past, something bad has happenned in his life, kwake personally au kwa watu walio karibu naye. Nadhani ndicho wanachoita...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Ukifuatilia nyendo za Viongozi Wakuu wa CHADEMA unaona kabisa ni wazi tena kwa makusudi wameamua wawe chawa wa Samia (wa CCM) wakidhani wanamkomoa Hayati Magufuli kwa kile wao hudhani na kuamini...
2 Reactions
14 Replies
715 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…