Imeandikwa katika gazeti la mzalendo:
Kasi ya Rais Dk. Samia Suluhu kufanya mageuzi makubwa nchini inazidi kuleta neema kwa wananchi, safari hi Serikali imekuja na mpango wa kupanua huduma za...
Wanajamvi,
Mbunge wa kawe mchungaji Joseph at Gwajima leo atakuwa na mkutano mkubwa wa maombezi kwenye viwanja vya mecco kunduchi.
Mecco ni eneo lililopo kwenye mgogoro wa ardhi mkubwa .wananchi...
Tunawekana Sawa tu ndugu zetu Waislamu marehemu huzikwa mapema zaidi baada ya Kufa
Hivyo Nusura Hassan mwanafunzi wa UDOM Kufa 3/5/2023 na Kuzikwa 4/5/2023 hakuhitaji mjadala
Nimeona Wengi...
Nimesikia Zanzibar itajenga daraja kutoka kwao kuja Dar.
Je, watawezaje ujenzi huo? Je, ni nini vyanzo vya mapato kwa serikali hiyo?
Tanzania bara wanafaidika na nini na uwepo wa Zanzibar?
Je...
Kama Serikali ina nia ya dhati kufaulu kwenye usimamizi wa mazingira, Serikali haina budi kuanzisha kikosi cha jeshi la polisi mazingira.
Suala la uchafuzi wa mazingira ni la saa 24 hivyo...
Aprili 14 mwaka huu waandishi wanne nguli—Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu walizindua kitabu chao walichokipa jina la 'I am the State: A President's Whisper from...
Kwa binadamu yeyote miongoni mwetu ambaye anaamini kuishi kwake litakuwa Bora Kwa kuwaondolea mbali na uso WA Dunia wale asiowapenda basi namweleza wazi kwamba; watu wale wale anaowatumia...
Mgodi wa Dirif wasitishwa kutoa huduma baada ya wananchi kumvamia mwekezaji aliyeletwa na kikundi cha Kagera wakishinikiza aondoke kwa kuwa ni mali ya wananchi.
Katavi. Mgodi wa Kijiji cha Dirif...
Jana ilikua sherehe ya kusimikwa kwa mfalme Charles iii wa Uingereza. Lakini sijaona maza House wetu akihudhuria hizo sharehe.
Je, hakupata mwaliko au tatizo nini?
Hili taifa linaumuhimu kama tukilileta sehemu yetu na kulimeza
Tutafaidika
Kiusalama upande wa magharibi
Ki uchumi kutokana na idadi yao ya watu
Pamoja na mengne
Taifa hilo liitwe Tanzabunia
Muasisi na Kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Chini ya Siku 30 tangu ACT wazalendo ipate Usajili wa Kudumu alpoteza mama yake mzazi Hijjat Shida Salumu Mohamed...
Katika utawala wa Mwalimu Nyerere Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi ambacho kilikuwa kinazalisha petroli, dizeli mafuta ya taa, lami nk.
Kwa hiyo nchi ilikuwa ikinunua...
Nafikiri toka uhuru hatujawahi kufanya mradi mkubwa namna hii. Kukamilika kwake kutatujengea roho ya uthubutu kwenye miradi mikubwa.
Eneo la ziwa litakuwa na ukubwa wa karibu km za eneo 1,350...
Desemba 22,2022 Mhe. Rais Samia Suluhu alizindua zoezi la kuanza ujazwaji maji kweny Bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere. Hadi sasa mradi umebakiza asilimia 18 kukamilika huku ujazo wa...
Kama kuna kitu cha kumfanya Rais yoyote akumbukwe Daima basi ni kuwasaidia Wananchi kupata Katiba iliyo Bora
Sanaa nyingine zote zitapita lakini saini yako kwenye Katiba Bora itadumu
Mlale Unono!
Serikali ipo mbioni kujenga chanzo kikubwa cha kuzalisha umeme ndani ya Hifadhi ya Seleou.Ni kwamba 1/3 ya eneo lote litatumika.Naunga mkono serikali kujiamulia namna nzuri ya kujiletea maendeleo...
Mbunge wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo amesema wameendelea kushauriana na Serikali ili ikiwezekana mikopo itokanayo na asilimia 10 ya mapato ya halmashauri inayotolewa kwa wanawake, vijana na watu...
MGODI WA SHANTA SINGIDA USIWABAGUE WAZAWA.
BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA MADINI DOTO BITEKO
Na: Suphian Juma Nkuwi
Mheshimiwa Waziri,
Nakusalim kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pole...