Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tokea jana usiku wa Saa 4:37 tumeanza kupata Maji na hadi sasa hali ni nzuri na inatia moyo Mungu wa mbinguni awabariki
0 Reactions
5 Replies
503 Views
DAWASA wametoa orodha ya Vituo vyake vinavyouza Maji kwa wale wanaonunua kwa kutumia magari maalum ya kubeba Maji Sabato njema!
1 Reactions
8 Replies
539 Views
Ndugu zangu CCM imeonesha umwamba wake wa siasa za hapa Tanzania,imeonesha kuwa ndio chama kikubwa na chenye ushawishi hapa Tanzania, imeonesha namna CCM ilivyo na nguvu hapa nchini, Imeonesha...
4 Reactions
145 Replies
4K Views
Kiasili Waswahili ndio hupendelea mambo ya Siasa Wagalatia Wao hufuata fursa tu Hata Nyerere alishawishiwa tu na Waswahili kuingia kwenye Siasa ili asaidie harakati za ukombozi Hivyo hata sasa...
1 Reactions
7 Replies
545 Views
Mtaalamu wa mambo ya Idadi ya Watu UN ameiambia BBC kuwa idadi ya Watu imefika bilioni 8 Duniani huku Nusu ya Watu hao wakiwa Bara la Asia Mtaalamu huyo amesema Tanzania kuna ongezeko la Watu la...
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Wasalaam wanajamvi! Sasa ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Mh Rais Samia achague mkurugenzi mkuu mpya wa TANESCO bwana Chande Maharage na baada ya hapo Waziri wa Nishati alivunja bodi ya tanesco na...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimetafakari kwa kina kuhusu kukatika kwa umeme maeneo mengi nchini na ukosefu wa maji si jambo la kuleta siasa na matumaini ya kwamba umeme utakuwa vizuri 2025. Hii si sawa, umeme ni uti wa...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Tunashukuru Rais wetu Mtukufu ameridhia hitaji la katiba mpya . Na itapendezwa zaidi Rais atakapong'olewa baadhi ya meno kuepusha utawala wa kibabe Binafsi baadhi ya mambo ambayo natamani yawepo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Chawa wa ccm na upinzani kwa ujumla wamekuwa wakimuvisha mheshimiwa raisi sifa ambazo hazina msingi huku malalamiko kwa wananchi yakiongozeka mfano mkubwa ni haya yafuatayo- Unawezaje kumwambia...
1 Reactions
3 Replies
535 Views
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU! Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa...
8 Reactions
267 Replies
23K Views
Tozo za kila namna zinawaangukia wao. Hawana uwezo wa kumudu lakini watafanyaje sasa? Hawasikii miradi mipya ikianzishwa kwa ajili ya taifa lao. Ina maana pesa wanazokamuliwa zinakamilisha miradi...
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Humlipii mtoto ada, kuanzia darasa la kwanza hadi kidato Cha sita hizo hela ulizotakiwa kulipa ada unazifanyia nini? Rais amedhibiti kwa kiasi kikubwa Mfumuko wa bei za bidhaa, tunaona kushuka...
1 Reactions
5 Replies
471 Views
Ukiangalia kwa sasa ni kama vita ya katiba mpya ipo moto lakin swala la udini nalo lipo moto ukiangalia chaguz za UVCCM wote ni waislam dar hat mwenyekit DODOMA pia ni structure ya uislam na...
1 Reactions
1 Replies
365 Views
Pamoja na matumaini makubwa yanayojengwa AMA kwa makusudi au kwa kutokufanya utafiti wa kutosha na hivyo kuwa ni matumaini yanayojengwa kwa bahati mbaya, wapinzani walishindwa kutumia furusa ya...
20 Reactions
186 Replies
12K Views
Chama cha siasa ni wananchi wanaounganishwa katika falsafa na itikadi moja. CCM kama taasisi imejengwa katika msingi wa falsafa na Itikadi zinazozaa Sera na ndani ya Sera hizoIlani ya uchaguzi...
3 Reactions
75 Replies
6K Views
Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa...
12 Reactions
189 Replies
14K Views
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa...
3 Reactions
193 Replies
22K Views
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto! Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda...
5 Reactions
98 Replies
10K Views
Naandika hili kwa masikitiko makubwa maana watani zangu CHADEMA siku zao zinahesabika kwa kasi inayonitisha sana. Mimi ni muumini wa uimara wa CCM kutegemea sana uimara na umakini wa upinzani...
33 Reactions
193 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…