Ndugu zangu CCM imeonesha umwamba wake wa siasa za hapa Tanzania,imeonesha kuwa ndio chama kikubwa na chenye ushawishi hapa Tanzania, imeonesha namna CCM ilivyo na nguvu hapa nchini, Imeonesha...
Kiasili Waswahili ndio hupendelea mambo ya Siasa Wagalatia Wao hufuata fursa tu
Hata Nyerere alishawishiwa tu na Waswahili kuingia kwenye Siasa ili asaidie harakati za ukombozi
Hivyo hata sasa...
Mtaalamu wa mambo ya Idadi ya Watu UN ameiambia BBC kuwa idadi ya Watu imefika bilioni 8 Duniani huku Nusu ya Watu hao wakiwa Bara la Asia
Mtaalamu huyo amesema Tanzania kuna ongezeko la Watu la...
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji
Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo...
Wasalaam wanajamvi!
Sasa ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Mh Rais Samia achague mkurugenzi mkuu mpya wa TANESCO bwana Chande Maharage na baada ya hapo Waziri wa Nishati alivunja bodi ya tanesco na...
Nimetafakari kwa kina kuhusu kukatika kwa umeme maeneo mengi nchini na ukosefu wa maji si jambo la kuleta siasa na matumaini ya kwamba umeme utakuwa vizuri 2025. Hii si sawa, umeme ni uti wa...
Tunashukuru Rais wetu Mtukufu ameridhia hitaji la katiba mpya .
Na itapendezwa zaidi Rais atakapong'olewa baadhi ya meno kuepusha utawala wa kibabe
Binafsi baadhi ya mambo ambayo natamani yawepo...
Chawa wa ccm na upinzani kwa ujumla wamekuwa wakimuvisha mheshimiwa raisi sifa ambazo hazina msingi huku malalamiko kwa wananchi yakiongozeka mfano mkubwa ni haya yafuatayo-
Unawezaje kumwambia...
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU!
Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa...
Tozo za kila namna zinawaangukia wao. Hawana uwezo wa kumudu lakini watafanyaje sasa?
Hawasikii miradi mipya ikianzishwa kwa ajili ya taifa lao. Ina maana pesa wanazokamuliwa zinakamilisha miradi...
Humlipii mtoto ada, kuanzia darasa la kwanza hadi kidato Cha sita hizo hela ulizotakiwa kulipa ada unazifanyia nini?
Rais amedhibiti kwa kiasi kikubwa Mfumuko wa bei za bidhaa, tunaona kushuka...
Ukiangalia kwa sasa ni kama vita ya katiba mpya ipo moto lakin swala la udini nalo lipo moto ukiangalia chaguz za UVCCM wote ni waislam dar hat mwenyekit DODOMA pia ni structure ya uislam na...
Pamoja na matumaini makubwa yanayojengwa AMA kwa makusudi au kwa kutokufanya utafiti wa kutosha na hivyo kuwa ni matumaini yanayojengwa kwa bahati mbaya, wapinzani walishindwa kutumia furusa ya...
Chama cha siasa ni wananchi wanaounganishwa katika falsafa na itikadi moja.
CCM kama taasisi imejengwa katika msingi wa falsafa na Itikadi zinazozaa Sera na ndani ya Sera hizoIlani ya uchaguzi...
Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa...
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa...
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda...
Naandika hili kwa masikitiko makubwa maana watani zangu CHADEMA siku zao zinahesabika kwa kasi inayonitisha sana. Mimi ni muumini wa uimara wa CCM kutegemea sana uimara na umakini wa upinzani...