Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,327
- 8,243
Humlipii mtoto ada, kuanzia darasa la kwanza hadi kidato Cha sita hizo hela ulizotakiwa kulipa ada unazifanyia nini?
Rais amedhibiti kwa kiasi kikubwa Mfumuko wa bei za bidhaa, tunaona kushuka Kwa bei za Mafuta, pembejeo za kilimo n.k. Hizo hela zinazobaki baada ya punguzo mnazifanyia nini?
Miundombinu imeboreshwa mtu anaweza kusafirisha bidhaa zake hata kwa kutumia baiskeli, oneni maisha yalivyo Rahisi.
Tunalipa Kodi na zinakwenda kwenye miradi ya Maendeleo.
Nauli za mabasi zinapanda kutokana na bei ya Mafuta kuwa juu. Lakini hakuna Mtanzania anaekwenda safari au kumsalimia ndugu yake kwa kutembea kwa miguu huwa tunatumia mabasi Tena Alfajiri tunajazana kwenye vituo vya mabasi.
Ndugu zangu tupunguzeni chuki na unafiki juu ya Serikali yetu ya awamu ya sita, tuweni wakweli kwamba awamu ya 6 ipo vizuri na tusipindishe ukweli.
Mengineyo:
Gesi ni nishati safi, kujiunga na teknolojia yetu ya kupima gesi ya kupikia kuanzia ELFU MOJA piga +255747744895.
Rais amedhibiti kwa kiasi kikubwa Mfumuko wa bei za bidhaa, tunaona kushuka Kwa bei za Mafuta, pembejeo za kilimo n.k. Hizo hela zinazobaki baada ya punguzo mnazifanyia nini?
Miundombinu imeboreshwa mtu anaweza kusafirisha bidhaa zake hata kwa kutumia baiskeli, oneni maisha yalivyo Rahisi.
Tunalipa Kodi na zinakwenda kwenye miradi ya Maendeleo.
Nauli za mabasi zinapanda kutokana na bei ya Mafuta kuwa juu. Lakini hakuna Mtanzania anaekwenda safari au kumsalimia ndugu yake kwa kutembea kwa miguu huwa tunatumia mabasi Tena Alfajiri tunajazana kwenye vituo vya mabasi.
Ndugu zangu tupunguzeni chuki na unafiki juu ya Serikali yetu ya awamu ya sita, tuweni wakweli kwamba awamu ya 6 ipo vizuri na tusipindishe ukweli.
Mengineyo:
Gesi ni nishati safi, kujiunga na teknolojia yetu ya kupima gesi ya kupikia kuanzia ELFU MOJA piga +255747744895.