Jumaa Aweso ushauri wangu kwako

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,227
26,047
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji

Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo haiendani na wakati uliopo. Kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa, napenda kukuhakikishia kuwa huo mradi sio endelevu na utalitia hasara taifa

Nimepita mikoa ambayo kuna mabwawa yalichimbwa kwa ajili ya wafugaji kama Singida, Tabora, Arusha na Dodoma, kusema kweli kwa ukali wa jua mabwawa mengi hata hayo maji hayana yamekauka

Ushauri wangu kwako
1. Kwa mikoa ya Tanga, Pwani, Dsm , Lindi na Mtwara waambie watendaji wako waandike proposal za miradi ya Desalination. Yaani kuchujwa kwa maji chumvi ya bahari kwa ajili ya kunywa. Viwanda hivi Vicente kwenye hii mikoa ili watumie maji ya bahari ya hindi

2. Kwa Mikoa ya Rukwa, Katavi, Kigoma Songwe na Tabora hawa watumie maji ya Ziwa Tanganyika. Miradi ijengwe kutoa maji ziwa hili kusambaza kwenye mikoa hiyo

3. Kwa Mikoa ya Mwanza, Mara, Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Dodoma na Singida hawa mradi wa maji ziwa Victoria ndo usambazwe kwenye mikoa hii yote.

4. Kwa mikoa ya Mbeya, Njombe, Ruvuma na Iringa, ingawa hii mikoa ina mvua za kuridhisha hasa Mbeya, Ruvuma na Njombe ila ushauri ni kwamba ziwa Nyasa liwe backup na kuwe na miradi ya kuipa maji ya kunywa mikoa hii kutoka ziwa nyasa

5. Kilimanjaro na Arusha. Mikoa hii iunganishwe na mradi wa maji yatokanayo na bahari yatakayokuwa yanatumika katika Mkoa wa Tanga

6. Morogoro
Maji ya mito ya Morogoro na Pwani ndo yatumike kwa ajili ya mkoa wa Morogoro

Hili litaokoa gharama ambazo mnataka kuziweka kwenye miradi ambayo haitakuwa na uhakika wa kuwepo kwa muda mrefu.
 
Kilimanjaro na Arusha nilisikia Kuna maji ya milimani huu ukanda wa kaskazini Kuna water fall za kijanja maji ya baridi ukianzia lushoto ukija milima ya upareni ..

Ishu ya desalination ni pesa ndefu mno kwa kweli labda tujitoe kama nchi nyingine itakuwa ngumu sana ila lazima tupitie gharama nyingi mno sio kitoto...

Mpaka sasa sikufichi bado hayuko katika kukabiliana na matatizo permanently zaidi leo tuko hapa hatujamaliza tuko kule ni mtihani sana kwa nchi yetu ishu izo zilitakiwa tangu kitambo tushamalizana nazo.
 
Kilimanjaro na Arusha nilisikia Kuna maji ya milimani huu ukanda wa kaskazini Kuna water fall za kijanja maji ya baridi ukianzia lushoto ukija milima ya upareni ..

Ishu ya desalination ni pesa ndefu mno kwa kweli labda tujitoe kama nchi nyingine itakuwa ngumu sana ila lazima tupitie gharama nyingi mno sio kitoto...

Mpaka sasa sikufichi bado hayuko katika kukabiliana na matatizo permanently zaidi leo tuko hapa hatujamaliza tuko kule ni mtihani sana kwa nchi yetu ishu izo zilitakiwa tangu kitambo tushamalizana nazo.
Mbona tunajengwa bwana la umeme kwa trilion takriban 7 huku maji yenyewe kizungumkuti?
 
Mbona tunajengwa bwana la umeme kwa trilion takriban 7 huku maji yenyewe kizungumkuti?
Mkuu ishu ni ivyo kwamba bwawa halijaisha tunaangukia kwingine ...ukweli ni kwamba sio utendaji ishu ni je pesa za kufadhili baadae utakuja Uzi humu awamu hii imekopa sana ...Tuangalie na mapato yetu halafu swala naona limekuja kama emergency ilihali ni tatizo la mda mrefu ila awamu hii inapata lawama sana ...je kama ni tril 4 tu tutaweza bila ya mkopo bado tuna bandari huko bagamoyo.
 
Water circle. ..any disruptive action that will be done as a counter measure to current problems we are facing, will not be sustainable.
 
Mkuu ishu ni ivyo kwamba bwawa halijaisha tunaangukia kwingine ...ukweli ni kwamba sio utendaji ishu ni je pesa za kufadhili baadae utakuja Uzi humu awamu hii imekopa sana ...Tuangalie na mapato yetu halafu swala naona limekuja kama emergency ilihali ni tatizo la mda mrefu ila awamu hii inapata lawama sana ...je kama ni tril 4 tu tutaweza bila ya mkopo bado tuna bandari huko bagamoyo.
Siamini kama gharama za kutoa maji ziwa Victoria kwa ajili ya mikoa ya Tabora , Singida, Dodoma, Simiyu na Mwanza ni kubwa zaidi ya kujenga bwana la nyerere

Siamini pia kama gharama za kutoa maji ziwa Tanganyika kwa mikoa ya Songwe, Rukwa, Katavi na Kigoma ni kubwa zaidi ya kujengwa bwana la Mwalimu Nyerere
 
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji

Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo haiendani na wakati uliopo. Kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa, napenda kukuhakikishia kuwa huo mradi sio endelevu na utalitia hasara taifa

Nimepita mikoa ambayo kuna mabwawa yalichimbwa kwa ajili ya wafugaji kama Singida, Tabora, Arusha na Dodoma, kusema kweli kwa ukali wa jua mabwawa mengi hata hayo maji hayana yamekauka

Ushauri wangu kwako
1. Kwa mikoa ya Tanga, Pwani, Dsm , Lindi na Mtwara waambie watendaji wako waandike proposal za miradi ya Desalination. Yaani kuchujwa kwa maji chumvi ya bahari kwa ajili ya kunywa. Viwanda hivi Vicente kwenye hii mikoa ili watumie maji ya bahari ya hindi

2. Kwa Mikoa ya Rukwa, Katavi, Kigoma Songwe na Tabora hawa watumie maji ya Ziwa Tanganyika. Miradi ijengwe kutoa maji ziwa hili kusambaza kwenye mikoa hiyo

3. Kwa Mikoa ya Mwanza, Mara, Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Dodoma na Singida hawa mradi wa maji ziwa Victoria ndo usambazwe kwenye mikoa hii yote.

4. Kwa mikoa ya Mbeya, Njombe, Ruvuma na Iringa, ingawa hii mikoa ina mvua za kuridhisha hasa Mbeya, Ruvuma na Njombe ila ushauri ni kwamba ziwa Nyasa liwe backup na kuwe na miradi ya kuipa maji ya kunywa mikoa hii kutoka ziwa nyasa

5. Kilimanjaro na Arusha. Mikoa hii iunganishwe na mradi wa maji yatokanayo na bahari yatakayokuwa yanatumika katika Mkoa wa Tanga

6. Morogoro
Maji ya mito ya Morogoro na Pwani ndo yatumike kwa ajili ya mkoa wa Morogoro

Hili litaokoa gharama ambazo mnataka kuziweka kwenye miradi ambayo haitakuwa na uhakika wa kuwepo kwa muda mrefu.
Level ya Uwaziri inamtaka waziri husika kabla ya kuamua chochote anatakiwa kuchukua maoni ya wadau kabla ya kuamua chochote au kupitia ripoti za tafiti zilizofanyika before.

Kama hakukuuliza ushauri, unapoteza muda kumshauri sababu ameshaamua na yawezakuwa ni fursa kwake Kwa uamuzi alochukua.

Wanacreate tatizo afu wanaandika proposal za chuchota pesa hazina Ili kutatua tatizo waloanzisha wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuna wazo alilitoa spika ya kutengenezwa kitu kama grid ya taifa ya maji mi nililielewa hili wazo, wataalam wangelifanyia maandiko likawekwa kwenye utendaji huenda likasaidia
 
Siamini kama gharama za kutoa maji ziwa Victoria kwa ajili ya mikoa ya Tabora , Singida, Dodoma, Simiyu na Mwanza ni kubwa zaidi ya kujenga bwana la nyerere

Siamini pia kama gharama za kutoa maji ziwa Tanganyika kwa mikoa ya Songwe, Rukwa, Katavi na Kigoma ni kubwa zaidi ya kujengwa bwana la Mwalimu Nyerere
Ishu ya kufanya maji ya bahari kuwa salama kwa matumizi ni gharama uko kwingine fresh.
 
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji

Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo haiendani na wakati uliopo. Kwa mabadiliko haya ya hali ya hewa, napenda kukuhakikishia kuwa huo mradi sio endelevu na utalitia hasara taifa

Nimepita mikoa ambayo kuna mabwawa yalichimbwa kwa ajili ya wafugaji kama Singida, Tabora, Arusha na Dodoma, kusema kweli kwa ukali wa jua mabwawa mengi hata hayo maji hayana yamekauka

Ushauri wangu kwako
1. Kwa mikoa ya Tanga, Pwani, Dsm , Lindi na Mtwara waambie watendaji wako waandike proposal za miradi ya Desalination. Yaani kuchujwa kwa maji chumvi ya bahari kwa ajili ya kunywa. Viwanda hivi Vicente kwenye hii mikoa ili watumie maji ya bahari ya hindi

2. Kwa Mikoa ya Rukwa, Katavi, Kigoma Songwe na Tabora hawa watumie maji ya Ziwa Tanganyika. Miradi ijengwe kutoa maji ziwa hili kusambaza kwenye mikoa hiyo

3. Kwa Mikoa ya Mwanza, Mara, Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Dodoma na Singida hawa mradi wa maji ziwa Victoria ndo usambazwe kwenye mikoa hii yote.

4. Kwa mikoa ya Mbeya, Njombe, Ruvuma na Iringa, ingawa hii mikoa ina mvua za kuridhisha hasa Mbeya, Ruvuma na Njombe ila ushauri ni kwamba ziwa Nyasa liwe backup na kuwe na miradi ya kuipa maji ya kunywa mikoa hii kutoka ziwa nyasa

5. Kilimanjaro na Arusha. Mikoa hii iunganishwe na mradi wa maji yatokanayo na bahari yatakayokuwa yanatumika katika Mkoa wa Tanga

6. Morogoro
Maji ya mito ya Morogoro na Pwani ndo yatumike kwa ajili ya mkoa wa Morogoro

Hili litaokoa gharama ambazo mnataka kuziweka kwenye miradi ambayo haitakuwa na uhakika wa kuwepo kwa muda mrefu.
Bro, ukiziweza gharama za desalination ya sea water hushindwi kufanya sensa kila mwaka
 
Kuna wazo alilitoa spika ya kutengenezwa kitu kama grid ya taifa ya maji mi nililielewa hili wazo, wataalam wangelifanyia maandiko likawekwa kwenye utendaji huenda likasaidia
Hayo maji yatatoka kwenye vyanzo vipi kuingia kwenyw hiyo gridi?
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu atakaa kusikiliza, kunywa maji alafu nenda kamuombe pesa shemeji.
We endelea kuomboleza hapo chato. Akili kubwa hizi sio saizi yako. Subiri mada zenu za kuwasema kina January, Nape, Mwigulu na Bashe wewe gang wenzako huku maji marefu sana kwenu
 
Back
Top Bottom