Dalili kuu kuwa wanaomizwa na kunyonywa ni raia maskini ni hii hapa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,567
Tozo za kila namna zinawaangukia wao. Hawana uwezo wa kumudu lakini watafanyaje sasa?

Hawasikii miradi mipya ikianzishwa kwa ajili ya taifa lao. Ina maana pesa wanazokamuliwa zinakamilisha miradi ya zamani.

Kuna genge la wana CCM wanaodai chama ni mali yao limewakalia vibaya wananchi, sasa linajibutulia tu bila kujali lolote.
 
Tozo za kila namna zinawaangukia wao. Hawana uwezo wa kumudu lakini watafanyaje sasa?

Hawasikii miradi mipya ikianzishwa kwa ajili ya taifa lao. Ina maana pesa wanazokamuliwa zinakamilisha miradi ya zamani.

Kuna genge la wana CCM wanaodai chama ni mali yao limewakalia vibaya wananchi, sasa linajibutulia tu bila kujali lolote.
Njoo tuungane tuwe kitu kimoja ili kuiangusha ccm maana bila hivyo taifa litaendelea kuumia.
 
Back
Top Bottom