Kisa kingine cha kweli acha niwashirikishe kuhusu JPM kipindi alipokuwa W UJ.
Kama sikosei ilikuwa mwaka 2013 kipindi hicho miradi miwili ya barabara kuanzia Songea mjini hadi Namtumbo na Likuyu...
- Haya wakuu habari nilizozipata sasa hivi toka ndani ya mkutano wa siri sana ni kwamba mgombea Masauni, nidye ameibuka mshindi wa uchaguzi huo baada ya kuwashinda wagombea wengine.
- Uchaguzi...
Serikali imedhamiria kupunguza gharama za kusafisha figo kutoka Shilingi 350,000 mpaka Shilingi 90,000 hadi 150,000 kwa lengo la kuwapunguzia wananchi mzigo wa gharama za matibabu hasa kwa wenye...
THOMAS Nkola maarufu kama mkulima na mfugaji amefungua maombi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuwashitaki baadhi ya mawaziri, wakuu wa taasisi za umma na kampuni binafsi.
Nkola ameomba...
Ama hakika kabla hujafa hujaumbika , Enyi vijana mnaopata vyeo vya kuteuliwa kuweni waangalifu mno pale mnapotenda majukumu yenu , hivi vyeo na hayo masaluti mnayopigiwa ni vya muda mfupi sana na...
MBUNGE BENAYA KAPINGA ASISITIZA DAWA NA VIFAA TIBA VIPELEKWE KWA WAKATI SEHEMU ZA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma Benaya Liuka Kapinga akichangia hotuba...
Wakuu wote JF, wasalaaam waleiykum!
- Katika siku za karibuni wananchi wa Tanzania tumejionea jinsi watawala wetu either wasivyo na maadili na uongozi tuliowapatia kama dhamana tu, wasivyo na...
Polepole ni mzalendo Wa Kweli.
Nitamuombea Kwa Mungu muweza Wa Yote Ili amlinde na kumpa ushindi dhidi ya adui ZAKE na adui Wa Taifa hili Kama Mfalme Daudi. Tunamuhitaji Polepole kuliko wakati...
- Heshima mbele wakuu wote JF, baada ya muda mrefu sana tupo wote tena unajua mishe mishe ya maisha.
Leo ya ustaafu kutoka kwenye siasa zetu Tanzania, I mean tufike pahali tujikite as a nation...
Na Alfred Lucas
Mwanahalisi~Maslahi ya taifa Mbele
MFANYABIASHARA na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz amesitisha uchapishaji magazetini wa taarifa yake ya kukana tuhuma za ufisadi.
Taarifa...
MBUNGE KWAGILWA REUBEN NHAMANILO AZUNGUMZIA UPOTEVU WA FEDHA ZA MADAWA MSD NA WASHITIRI
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya...
MBUNGE BENAYA KAPINGA ASISITIZA DAWA NA VIFAA TIBA VIPELEKWE KWA WAKATI SEHEMU ZA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma Mhe. Benaya Liuka Kapinga akichangia...
Salaam Ndugu zanu,
Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwamba Spika anashindwa kutazama...
Amekuwa kimya sana kiasi cha kusahaulika kwenye pilikapilika na siasa za Tanzania.
Sina kumbukumbu kama alirudi CCM na kusamehewa makosa.
Lakini matukio kibao yametokea hapa katikati na amekuwa...
MAISHA ya William Malecela yanaakisi tafsiri ya binadamu mwenye sifa nyingi ndani ya mwili mmoja.
Msomi na kichwa ngumu. Mtu wa misingi na ndimilakuwili. Mpambanaji na mtoto wa baba. Hustler na...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo leo tarehe 15 Mei, 2023 amewasili wilayani Bukombe mkoa wa Geita kwa ziara ya siku moja na kuzindua majengo mbalimbali ya Chama Cha...
Wakati Tunaomboleza Msiba wa Membe bado kuna mambo mengine yanaendelea nchini mwetu .
Huko Makete Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaendelea kutoa elimu kuhusu Katiba Mpya na Tume huru ya...
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa...