Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kisa kingine cha kweli acha niwashirikishe kuhusu JPM kipindi alipokuwa W UJ. Kama sikosei ilikuwa mwaka 2013 kipindi hicho miradi miwili ya barabara kuanzia Songea mjini hadi Namtumbo na Likuyu...
5 Reactions
8 Replies
885 Views
- Haya wakuu habari nilizozipata sasa hivi toka ndani ya mkutano wa siri sana ni kwamba mgombea Masauni, nidye ameibuka mshindi wa uchaguzi huo baada ya kuwashinda wagombea wengine. - Uchaguzi...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Serikali imedhamiria kupunguza gharama za kusafisha figo kutoka Shilingi 350,000 mpaka Shilingi 90,000 hadi 150,000 kwa lengo la kuwapunguzia wananchi mzigo wa gharama za matibabu hasa kwa wenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
THOMAS Nkola maarufu kama mkulima na mfugaji amefungua maombi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kuwashitaki baadhi ya mawaziri, wakuu wa taasisi za umma na kampuni binafsi. Nkola ameomba...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Ama hakika kabla hujafa hujaumbika , Enyi vijana mnaopata vyeo vya kuteuliwa kuweni waangalifu mno pale mnapotenda majukumu yenu , hivi vyeo na hayo masaluti mnayopigiwa ni vya muda mfupi sana na...
32 Reactions
106 Replies
15K Views
MBUNGE BENAYA KAPINGA ASISITIZA DAWA NA VIFAA TIBA VIPELEKWE KWA WAKATI SEHEMU ZA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma Benaya Liuka Kapinga akichangia hotuba...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Wakuu wote JF, wasalaaam waleiykum! - Katika siku za karibuni wananchi wa Tanzania tumejionea jinsi watawala wetu either wasivyo na maadili na uongozi tuliowapatia kama dhamana tu, wasivyo na...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Polepole ni mzalendo Wa Kweli. Nitamuombea Kwa Mungu muweza Wa Yote Ili amlinde na kumpa ushindi dhidi ya adui ZAKE na adui Wa Taifa hili Kama Mfalme Daudi. Tunamuhitaji Polepole kuliko wakati...
10 Reactions
83 Replies
8K Views
...sasa 16 billioni zimeenda wapi!!!? :confused: Usanii mtupu!!!! Money recouped from EPA: Govt tables 53bn/-mini-budget JAPHET SANGA in Dodoma Daily News; Wednesday,February 04, 2009...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
- According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Muungwana atakuwa njiani kuelekea US taarifa zaidi baadaye! Respect. FMEs!
1 Reactions
49 Replies
6K Views
- Heshima mbele wakuu wote JF, baada ya muda mrefu sana tupo wote tena unajua mishe mishe ya maisha. Leo ya ustaafu kutoka kwenye siasa zetu Tanzania, I mean tufike pahali tujikite as a nation...
13 Reactions
45 Replies
3K Views
Na Alfred Lucas Mwanahalisi~Maslahi ya taifa Mbele MFANYABIASHARA na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz amesitisha uchapishaji magazetini wa taarifa yake ya kukana tuhuma za ufisadi. Taarifa...
1 Reactions
58 Replies
8K Views
MBUNGE KWAGILWA REUBEN NHAMANILO AZUNGUMZIA UPOTEVU WA FEDHA ZA MADAWA MSD NA WASHITIRI Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
MBUNGE BENAYA KAPINGA ASISITIZA DAWA NA VIFAA TIBA VIPELEKWE KWA WAKATI SEHEMU ZA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini Mkoa wa Ruvuma Mhe. Benaya Liuka Kapinga akichangia...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Salaam Ndugu zanu, Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea. Kwamba Spika anashindwa kutazama...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Amekuwa kimya sana kiasi cha kusahaulika kwenye pilikapilika na siasa za Tanzania. Sina kumbukumbu kama alirudi CCM na kusamehewa makosa. Lakini matukio kibao yametokea hapa katikati na amekuwa...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
MAISHA ya William Malecela yanaakisi tafsiri ya binadamu mwenye sifa nyingi ndani ya mwili mmoja. Msomi na kichwa ngumu. Mtu wa misingi na ndimilakuwili. Mpambanaji na mtoto wa baba. Hustler na...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo leo tarehe 15 Mei, 2023 amewasili wilayani Bukombe mkoa wa Geita kwa ziara ya siku moja na kuzindua majengo mbalimbali ya Chama Cha...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Wakati Tunaomboleza Msiba wa Membe bado kuna mambo mengine yanaendelea nchini mwetu . Huko Makete Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaendelea kutoa elimu kuhusu Katiba Mpya na Tume huru ya...
2 Reactions
8 Replies
645 Views
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa; 1. Uharibifu wa Mazingira 2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa...
5 Reactions
73 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…