Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hiki ndiyo kilichokuwa kikitokea kwenye uchaguzi wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Simiyu ambao ulifanyika Alhamis ya wiki iliyopita, Novemba 17, 2022 Huu anayeonekana...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Kamati ya Dkt. Harisson Mwakyembe iliyokuwa ikitafuta chanzo cha kufeli wanafunzi wengi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST) imeshauri kuundwa upya kozi za Sheria ikiwemo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Awamu ya baba wa taifa na ile ya mzee ruhusa hakukuwa na changamoto la katika katika kwa umeme maeneo ambayo huduma hii ilikuwa imeyafikia. Ni kweli kwamba maeneo hayo yalikuwa hasa kwenye miji...
4 Reactions
116 Replies
5K Views
Wagalatia tunaamini katika msamaha Na msamaha wa dhambi zetu tuliupata msalabani pale Calvary Na ili kuepusha shari huwa Tunaomba msamaha Je, alhaj Bashiru atayafuata mafundisho ya nabii Issa?
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine. Kulikuwa hakuna tatizo la...
47 Reactions
154 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa Tanesco Ndugu Maharage Chande akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania , amesema kwamba Matatizo yote ya umeme yatamalizika rasmi mwezi Novemba 2025 . Na kwamba...
2 Reactions
60 Replies
5K Views
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema Rais Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa ya kuandaa Tanzania ya kesho. Sumaye alisema hayo jana katika Kata ya Bonga, mkoani Manyara wakati...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa asilimia kubwa mimi nawakubari wazungu.kwanza wanatumia akili sana kutatua mataizo yao tofauti na sisi wa Africa tunaotaka mambo yetu yote yaamliwe na mizimu (babu zetu wa kale) au Muumba wa...
6 Reactions
10 Replies
710 Views
Hivi kwa Tanzania ya sasa CCM Ina mpango wa kuwaambia nini wamachinga, mamantilie, wakulima, wafugaji, wachimbaji wadogo, Wafanyabiashara wadogo wanafunzi wa elimu ya juu na day workers nini pale...
1 Reactions
13 Replies
836 Views
#Shaka! Usituongopee.. Elewa kwamba.. Dkt Bashiru ndie Amepiga Nyundo kwenye Mzinga! Hadi "Malkia wa Nyuki"ametoka Nduki! Amewakumbuka walamba Shubiri kule Site! Sasa kinachoendelea ni kujitetea...
7 Reactions
4 Replies
850 Views
Watu mna siri.... Nimeumia sana. Kumbe kuna kipindi mlikuwa mnapata vitu vya bure hata sisi wengine hamkutuambia? Ni miaka gani hiyo bandugu? Sisi tuliozaliwa early 70s nadhani hilo neno...
4 Reactions
17 Replies
867 Views
Mzee Sumaye amesema hata yeye na mzee Mkapa waliipokea nchi ikiwa katika bali ngumu sana ya kiuchumi mwaka 1995 kama ambavyo Rais Samia ameipokea. Sumaye amesema walipoanza kurekebisha Uchumi...
0 Reactions
10 Replies
725 Views
Waziri wa nishati Dr Kalemani ameitaka Ewura kuhakikisha bei ya gesi ya majumbani inashuka ndani ya siku 14 kuanzia leo. --- CHATO. Waziri wa Nishati nchini Tanzania Dkt. Medard Kalemani...
9 Reactions
45 Replies
5K Views
Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati? Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati...
27 Reactions
79 Replies
6K Views
Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia. Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko. Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano...
30 Reactions
131 Replies
8K Views
January nahisi nyota yake ina giza sana! Haiwezekani yeye tu kutajwa na hata kusemwa kwa ubaya tuuuu! Ukiona jamii inayokuzunguka haishi vigenge vya kukusema kwa ubaya tambua kutoboa kwako...
12 Reactions
144 Replies
50K Views
Katika hotuba ya Rais Samia Suluhu leo amegusia suala la migogoro la ardhi amesema kuwa: "Wakati wananchi wanavamia maeneo, wanasiasa hatuwaambii wananchi ukweli, tunawaangalia wakivamia na...
2 Reactions
11 Replies
954 Views
Nawasalimu kwa jina la Chama Cha Mapinduzi. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nachukua nafasi kupinga uamuzi wa CHADEMA kumpa nafasi ya kugombea urais wa JMT 2025 spika aliyejiuzuli ndugu...
10 Reactions
93 Replies
6K Views
Rais Samia Suluhu amemaliza Ziara yake leo mkoani Manyara kwa kukagua Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Baada ya ukaguzi huo alikutana na kuzungumza na wananchi. Kabla ya Rais Samia...
0 Reactions
5 Replies
919 Views
Inasikitisha, Inahuzunisha ila uhalisia unabaki hivyo. Nchi ya Tanzania kama yalivyo mataifa mengine Duniani inatamaduni zake na mifumo yake ya kiutawala! Democracy ndio mfumo unaotumika ktk...
1 Reactions
11 Replies
703 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…