Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Mkurugenzi wa Tanesco Ndugu Maharage Chande akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari Nchini Tanzania , amesema kwamba Matatizo yote ya umeme yatamalizika rasmi mwezi Novemba 2025 .
Na kwamba baada ya hapo hamtawaita tena Watu wa Tanesco kuwauliza kuhusu masuala ya Umeme , Mh Maharage Chande alikuwa anafafanua jambo hilo huku akiadhimisha Mwaka mmoja tangu aanze kazi ya kulisimamia shirika hilo .
Kwa kauli hii kutoka kwa Ofisa wa Juu kabisa wa Tanesco , tunawaomba Wananchi muendelee kufunga mikanda .
Na kwamba baada ya hapo hamtawaita tena Watu wa Tanesco kuwauliza kuhusu masuala ya Umeme , Mh Maharage Chande alikuwa anafafanua jambo hilo huku akiadhimisha Mwaka mmoja tangu aanze kazi ya kulisimamia shirika hilo .
Kwa kauli hii kutoka kwa Ofisa wa Juu kabisa wa Tanesco , tunawaomba Wananchi muendelee kufunga mikanda .