Planet FSD

JF-Expert Member
Oct 24, 2019
455
938
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.
Acha wivu wewe sukuma gang. Makamba siyo nyaya za umeme . Hata useme nini Makamba is there to stay. Sukuma gang tupa kule

Mitambo imeharibiwa na yule jini wenu aliyelazimisha mitambo kufanya kazi bila ya matengenezo.
 
Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?

Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue
 
Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sidhani kama mtoa mada ana chuki na Makamba, la hasha. Shida ni kuwa kwa nini sasa baada ya JPM? Nchi kama South Korea mtoto anazaliwa mpaka anafikisha miaka 30 hakumbuki kuona siku umeme umekatika, regardless ya mitambo inayotumika. Je, mitambo hiyo haifanyiwi service?
Mwaka jana nchi ya marekani ilikumbwa na tatizo la umeme na mitambo iliharibika vibaya sana, lakini ilichukua saa 13 pekee kurejesha hali ya kawaida ya umeme na mpaka leo hakuna siku umekatika.
Kuna tatizo mahali mkuu.
 
Sidhani kama mtoa mada ana chuki na Makamba, la hasha. Shida ni kuwa kwa nini sasa baada ya JPM? Nchi kama South Korea mtoto anazaliwa mpaka anafikisha miaka 30 hakumbuki kuona siku umeme umekatika, regardless ya mitambo inayotumika. Je, mitambo hiyo haifanyiwi service?
Mwaka jana nchi ya marekani ilikumbwa na tatizo la umeme na mitambo iliharibika vibaya sana, lakini ilichukua saa 13 pekee kurejesha hali ya kawaida ya umeme na mpaka leo hakuna siku umekatika.
Kuna tatizo mahali mkuu.
Kwahiyo unataka miujiza yote hii ifanyike chini ya uwaziri wa Makamba? Hapa mnamuonea au hamumpendi tu.
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Acha utani wewe...

Unalinganisha Wizara ya Nishati na Wizara ya Mazingira?!

Unambiwa kama ulikuwa unaishi Dar usiende na zigo la mabegi Dodoma kama umeteuliwa wizara zifuatazo:-

1. Nishati,
2. Mambo ya Ndani,
3. Utalii na Mali Asili

Hapo unatakiwa kwenda na bei moja au mawili kama vile kocha aliyepata mkataba Yanga au Simba!!

Huko kwenye mazingira ni sehemu ya kujichotea minyama bila kupiga mayowe, na sio nishati!!
 
Sidhani kama mtoa mada ana chuki na Makamba, la hasha. Shida ni kuwa kwa nini sasa baada ya JPM? Nchi kama South Korea mtoto anazaliwa mpaka anafikisha miaka 30 hakumbuki kuona siku umeme umekatika, regardless ya mitambo inayotumika. Je, mitambo hiyo haifanyiwi service?
Mwaka jana nchi ya marekani ilikumbwa na tatizo la umeme na mitambo iliharibika vibaya sana, lakini ilichukua saa 13 pekee kurejesha hali ya kawaida ya umeme na mpaka leo hakuna siku umekatika.
Kuna tatizo mahali mkuu.
Watu hawaelewe na hawachanganui mambo,. Wameweka ushabiki wa Siasa mbele

Siku 10 ni Nyingi Sana kwa Wananchi wanaotegemea umeme kuendesha maisha yao ya kila siku, watanzanua walio wengi wanafanya kazi kutwa ndo wapate kula
 
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza kukatika katika.

Baada ya muda akarudisha watu wale wale kwenye bodi ya Tanesco ambao JPM aliwatoa, ambao walikuwepo kipindi cha kata kata ya umeme.
Tulianza kuambiwa umeme unakatwa kwa sababu ya marekebisho ya miundombinu.

Haukupita muda tukambiwa katika katika ya umeme ni kwa sababu ya ukame na maji kupungua kwenye mabwawa ya uzalishaji. Mungu si athumani mvua zikamwagika

Sasa tumetangaziwa officially kuhusu mgao ambao umekuwepo kwa miezi kadhaa, mara hii tukiambiwa ni kwa siku 10.

Huyu mtu hafai hii wizara. Dunia ya leo mgao wa umeme linatakiwa liwe jambo la kufikirika. Rais Samia toa huyu mtu hapa, kuna 'wizara za kuchezea' ila sio hii.

NB: HAIWEZEKANI HATA MWAKA HAUJAPITA TANGU JPM AFARIKI TAYARI TUNAELEKEA PRE-JPM ERA KWA KASI YA KIMBUNGA.

C9866B32-37E4-4F64-9ACC-44D5ED254F31.jpeg
 
Unajua jitahidi uwe mkweli,hivi january ahujumu umeme kwa makusudi yete anafaidika nini?,unadhani akihujumu kwa makusudi mana atamwacha?
Tukubali kuna tatizo,ambalo huko nyuma lilikuwa linafichwa,mpeni muda alitatue

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Kama kuna tatizo lilikua linafichwa na umeme tunapata wa uhakika basi na wao waendelee kulificha ili tuendelee kupata umeme.sisi shida yetu ni umeme wala sio siri zilizofichwa
 
Sasa Makamba ajiuzulu kwasabb gani?

Culture yetu hata kitu kikienda vibaya kiasi gani, hakuna anayewajibika.
Na ukiona anawajibika basi iwe kwa kulazimishwa. Ndio maana hakuna accountability. Umeme nina hakika unaweza kupotea mwezi mzima na bado maisha yakawa yale yale. Who cares?

By the way, public office is not a personal office. The public can make a decision to fire on the public servant, pale inapookana inafaa. Africa hili somo litakuja tu ni suala la muda
 
Back
Top Bottom