Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege. Wahudumu wa ndege wamefundishwa...
12 Reactions
64 Replies
4K Views
Siku moja mbwa wa uswazi akiwa kakonda na manyoya yamenyonyoka kwa kukosa matunzo, alianza kukatiza mitaa akitafuta msosi. Mbwa huyo alizunguka sana ghafla akajikuta ushuani. Akamuona mbwa wa...
1 Reactions
1 Replies
657 Views
Kwa Prof Mbarawa sasa majipu yanalipuka kila uchao ndani ya wizara yake. Tumeona ya Precision Bukoba, tumesikia ya ndege za Air Tanzania kuwa grounded. Huko SGR na matreni bado kizungumkuti, mapya...
0 Reactions
1 Replies
372 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Tulikuwa tunaangalia magereza yetu tukabaini waliofungwa na walio mahabusu idadi yao ni kama ilikuwa sawa, wengi wao ni kesi za kubambikwa ndio maana unakuta mtu...
12 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna maneno aliwahi kuyasema Mzee Msekwa, yapo Youtube na kwingineko huko...kwamba wananchi wanaweza kumvumilia kiongozi katili na mbaya kwa miaka mitano tu lakini si zaidi ya hapo...zaidi ya hapo...
48 Reactions
163 Replies
14K Views
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS...
20 Reactions
325 Replies
25K Views
Ajira nyeti makwetu kigezo ni JKT na hasa SUMA JKT. Wenzetu wana lenga graduates: DCI targets graduate officers for new crime prevention unit Jamii mbili hizi zinafanana kijiografia. Wote ni...
1 Reactions
8 Replies
716 Views
1.iweje mabehewa ya umbali mrefu yatangulie wakati reli yenyewe kipande cha dar to moro kinategemea kuanza Feb 2023? 2.Picha ya treni na mabehewa yaliyoagizwa na serikali na kuwekwa kwenye tovuti...
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo. Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu...
12 Reactions
45 Replies
3K Views
SHAKA ANAANZA KWA KUSEMA KUWA, RAIS SAMIA NI KIOO KINACHOAKISI THAMANI YA TANZANIA NA WATANZANIA, KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Waziri Byabato: "tumelazimika kuleta wakandrasi wenye gharama kubwa ili kurekebisha hitilafu kwenye mitambo ya Gesi ya Kinyerezi" Baada ya Mvua kunyesha, wamebadili visingizio? Bado CCM mnazidi...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilikua bado nina shaka kama kweli uongozi wa mama unarudisha wahuni na wapigaji wa awamu ya nne ila matokeo ya chaguzi za CCM zinazoendelea ndio zimenitoa shaka. Kwa mfano uchaguzi wa Karamagi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu/taasisi ambazo ziko dhidi yake Kwa mfano...
35 Reactions
402 Replies
22K Views
Bila kuwa na maneno mengi naomba kuwauliza vijana wa ccm waliopo DODOMA kwenye matukio muhimu ya chama chao na hicho kinachoitwa Green Marathon maswali yafuatayo. 1. Leo UVCCM wanainjoi na...
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Kila kunapokuwa na jambo ka moto mara zote CCM huja na vijambo Ili kuwatoa wananchi kwenye umakini. Wote tunajua kuwa moja, kuna mgao mkali sana wa umeme ambao hata haueleweki, kuna mgao wa maji...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Huyu mwamba Yuko wapi? Ikulu haendi tena. Ndege imeanguka mwamba Yuko kimya, sio kawaida yake. Mama katoa kauli tata Arusha, mwamba katulia tu. Katiba inasusua mwamba katulia. Hamna maandamano...
4 Reactions
16 Replies
975 Views
Nchi yetu pendwa, kipenzi cha nchi nyingi duniani, kilimbilio la watu wote waliokua wakikandamizwa kwenye nchi zao hakuwahi kutawaliwa na Rais wa ajabu kama Magufuli. Rais ambaye hakuwapenda raia...
47 Reactions
84 Replies
7K Views
PONGEZI UVCCM WILAYA - SALAMU ZA PONGEZI KWA WASHINDI NA WASHIRIKI WOTE KATIKA UCHAGUZI NGAZI YA UVCCM WILAYA Na Komredi, Ndugu Victoria Charles Mwanziva: Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri wa zamani wa Mali Asili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangallah kupitia Twitter ameonesha wasiwasi juu ya Ubora wa Mabehewa ya Treni za SGR ambayo picha zake zimeonekana zikisambaa mitandaoni na...
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…