Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,312
- 24,170
Kwa Prof Mbarawa sasa majipu yanalipuka kila uchao ndani ya wizara yake.
Tumeona ya Precision Bukoba, tumesikia ya ndege za Air Tanzania kuwa grounded.
Huko SGR na matreni bado kizungumkuti, mapya si mapya(mi nafikiri mapya).
Sasa nimeona clip hii ya ukakasi Airport entrance gates.
Management ya Taasisi chini ya Wizara zina matatizo, uswahili umerudi kwa kasi.
Mbarawa unatosha?