Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 11,463
- 27,464
Bila kuwa na maneno mengi naomba kuwauliza vijana wa ccm waliopo DODOMA kwenye matukio muhimu ya chama chao na hicho kinachoitwa green marathon maswali yafuatayo !
1. Leo UVCCM wanainjoi na kunufaika kwa ccm kuwa chama dola je wanawaza nini Juu ya vijana wenzao wa vyama vingine hasa chadema namna wanavyokuwa treated na dola?
2. Kwakuwa kila lenye mwanzo halikosi mwisho je na kwakuwa wao ni vijana na ni jambo la wazi mwamba ccm imetoka mbali kuliko inapokwenda ikiwa na maana kwamba ni wazi ccm itawafia mikononi mwao sasa je uvccm watakuwa tayari na wao kufanyiwa yaleyale wanayowafanyia wenzao leo?
1. Leo UVCCM wanainjoi na kunufaika kwa ccm kuwa chama dola je wanawaza nini Juu ya vijana wenzao wa vyama vingine hasa chadema namna wanavyokuwa treated na dola?
2. Kwakuwa kila lenye mwanzo halikosi mwisho je na kwakuwa wao ni vijana na ni jambo la wazi mwamba ccm imetoka mbali kuliko inapokwenda ikiwa na maana kwamba ni wazi ccm itawafia mikononi mwao sasa je uvccm watakuwa tayari na wao kufanyiwa yaleyale wanayowafanyia wenzao leo?