Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo.
Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.
Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?
Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?
Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:
1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?
2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa
3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono
4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha
5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu
7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu
Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkumbo na leo tunayaona kwa Bashiru.
Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.
Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.
Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.
Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?
Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?
Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:
1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?
2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa
3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono
4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha
5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu
7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu
Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkumbo na leo tunayaona kwa Bashiru.
Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.
Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.