Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,817
35,804
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo.

Tumekuwa kama wapenzi watazamaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.

Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?

Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?

Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:

1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?

2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa

3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono

4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu

7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi

8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu

Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkumbo na leo tunayaona kwa Bashiru.

Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.

Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.
 
Labda wewe ndio haukuwaunga mkono.

Nyuzi lukuki nilizoandika kuhusu kuwaunga mkono hata waliokuwa watesi wetu zinajiongelea zenyewe kwa kila asiyetupia miwani ya mbao na hasa asiyekuwa chawa uchwara
 
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo.

Tumekuwa kama wapenzi watazanaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.

Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?

Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?

Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:

1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?

2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa

3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono

4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu

7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi

8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu

Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkmbo na leo tunayaona kwa Bashiru.

Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.

Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.
Nakupa ushauri wa bure usithubutu kumuamini mwanasiasa yoyote.
 
Haki ni haki bila kujali maslahi binafsi ya awaye yote. Kwa bahati mbaya tumekuwa wabinafsi tusiotaka kuwa sehemu ya kupigania haki hizo.

Tumekuwa kama wapenzi watazanaji wengine wanapojaribu kuuwasha moto.

Imekuwa fulani kasema hivi, fulani kasema vile. Sisi tumesema nini fulani anaposema la maana hata kama hatumpendi? Hatuna hata kauli za mshikamano?

Izingatiwe zimekuwapo kauli nzito za maaskofu kama Mwingira, Shoo na hata mzee wa Upako au Sheikh Ponda. Kwani kulikuwa matamshi hata ya mshikamano tu kutokea wapi?

Kwa hakika kama watanzania tuna matatizo mtambuka tena yaliyo endelevu:

1. Siasa za Chuki, Tanzania tunakwama Wapi?

2. Tuungane mkono dhidi ya Kunyamazishwa

3.Msamaha kubutuliwa, Ndugai aungwe mkono

4.Kujiuzulu kwa Ndugai: Hongereni CHADEMA na NCCR japo haikutosha

5.Aungwe Mkono Askofu Mwingira kukemea Maovu

7. Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi

8.Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu

Hawakuungwa mkono kina Ndugai, Polepole, Pinda, Kitila Mkmbo na leo tunayaona kwa Bashiru.

Ukombozi ni jitihada za wote waliokuwamo na hata wasiokuwamo.

Ukombozi si suala binafsi au watu fulani ati kwamba ni hao tu from the scratch.
Wanasapoti ya kutosha sana,waendelee kutokuwa waoga
 
Naamini Dr. Bashiru ataendelea kubaki na msimamo wake, hii itafaa sana kuweka rekodi sahihi mbele ya safari, na hata hao wenye ubinafsi, wanaoiwekea demokrasia masharti, naamimi nao iko siku wataamka.

Akisema jiwe - ukiteka kifaru vitani si unakitumia?

Siku tutakapokua kufikia japo siasa za Kenya ndipo tutambua kuwa siasa si uadui.

Siasa za chuki: Tanzania tunakwama wapi?
 
Back
Top Bottom